Jamani nme-download na ku-install skype kutoka google play store bt nikiifungua inakataa kufunguka.Hv ni kwamba hii inahitaji Wi-fi kuitumia ama?
Natumia Huawei Tab
hii application inaitwa TOGO tv ina chanell nyingi sana za kila aina hadi mambo ya kibaba na mama yapo.
Simu zinazokubali ni java na symbian na bb zajava kama hujui post chini ntakwambia kama...
Nike: Named for the greek goddess of
victory. The swoosh symbolises her
flight. Skype: The original concept was â
Sky-Peer-to-Peerâ, which
morphed into Skyper, then Skype. Mercedes: This...
Msaada tafadhali.
Salaam Wana Jamvi!
Nawezaje kuweka picha/images ktk body ya email particularly, Outlook Web Access?
Sihitaji kuweka attachment. Ningependa recipient akifungua email niliyotuma...
Niaje waungwana?
Natafuta web designer ambae yuko fit coz nategemea kufungua website.
Km upo dodoma na uko tayar,hollaa through 0752385949,0759362254 and lets mek a serious biz!!
Very urgent......
Wadau naomba kwa anayejua namna ya ku treat maji ya Mvua yasiharibike. Natarajia kuvuna maelfu ya Litter za maji ys mvua but si mtaalam wa kutreat. Kuna mtu ameniambia nitumie Water Guard...
mambo vipi wadau embu leo naomba tufahamishane kuhusiana na application nzuri ambazo zinapatikana ktk Google play store ambazo wewe mwenyewe umekuwa excited nazo na unaikubali mimi application...
Ndugu zangu Wanajamii!!!!!
Nina mpango wa kununua simu nzuri na ya kisasa siku za karibuni maana ninakwenda Mwanza kikazi. Kuna jamaa yangu amenishauri ninunue Samsung Galaxy Ace, lakini...
HABARI ZA LEO WADAU?
MAJUZI NILIKUA NA HARAKATI ZA KUTAKA KURAHISISHA MAISHA KWA KUICHAKACHUA MODEM YA AIRTEL, MODEL
MF 190 ZTE. NILIFANIKIWA KUI-UNLOCK LAKINI KILA NIKIWEKA LINE NYINGINE...
kwa wale wadau wa games naomba mwenye knowledge ya kubadilisha language kwenye hyo game pls
nimejaribu kuchek kwa bwana google hanipi majibu useful, ka una idea ya hyo ki2 pls say something
tanx...
HABARI ZENYU BANA JF.
NAOMBA MSAADA KWA VITU VIFUATAVYO;
KU INSTALL INTERNET EXPLORER KWENYE MAC
IP ADDRESS YA TTCL (server)
INCOMING MAIL SERVER -NATUMIA BROADBAND YA TTCL CATEGORY YA POA/NDUKI...
Wadau nimetembele kiwanda cha TATC-NYUMBU, kumbe watanzania tunauwezo mkubwa sana wa kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba kwa kutumia technologia ya kisasa zaidi ya kutengeneza machine za...
Habari ndo hiyo sasa nasubiria matokeo ya nokia,RIM,microsoft na sumsung tuone nani yupo creative i.e. product out of the shelves money in the bank siyo ushabiki tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.