A computer engineer checks equipment at an internet service provider in Tehran.(REUTERS / Caren Firouz)
Tehran plans to remove its key ministries and state bodies from the Internet next month...
Wakuu salam.
Wakuu kuna kampuni yetu inataka kufungua website yake, naomba kwa wataalam tuwasiliane kwa PM, eleza gharama zote including hosting. Asanteni
Wakati sisi tunasumbuliwa na mambo madogomadogo kama njaa na malaria, wenzetu wanafanya uchunguzi kwenye sayari zingine, angalia link hiyo hapo chini.
NASA's Robot Lab Curiosity Nears Mars -...
Wana JF naombeni mnijuze tofauti ya status hizi katika usajili wa vyuo vikuu hapa Tanzania:
Full registration and Chartered
Full Registration
Accredited
Accredited and Chartered
Watalamu najaribu kuweka bandle kwa ajili ya internet kwenye line ya Airtell toka jana inasema failed ile ya *154*44# jamaa wa customer care hawaeleweki msaada tafadhali
Napenda kuwaalert wale wasiohua kuwa Microsoft wamephase out Window XP yani sa hivi unayoweza kutumia at least ni SP3 so ukiona msg kwamba the s/w is invalid usishangae hamia kwingine.
Wakuu poleni na uchovu wa siku, natumaini kila mmoja humu yupo mzima wa afya na kama yupo anayeumwa basi tumwombeeni aweze kurudi hali yake ya mwanzo. Wakuu mimi ninatatizo la kutoelewa ni njia...
wakuu natanguliza shukrani kwenu kwa kuendeleza kutujuza na kutusaidia hapa jamvin sis wenye matatizo. Wakuu mim nina tv flat screen bapa aina ya sanyo model...
nilikuwa naomba mnisaidie ni jinsi gani au wapi naweza kupata mobile tv yenye channel ambazo ni maarufu,nisaidieni nimeangaika sana.simu yangu ni nokia navigator 6110
wadau wa IT,
Naombeni msaada computer yangu haifungui account yoyote ya facebook (website zingine inafungua vizuri)
ninapofungua www.facebook.com/login inafungua mpaka sehemu ya kuweka email na...
Ni application ambayo inakupa access ya ku backup chochote pamoja na settings zako ktk cmu yako.
Pia hata kama imeibiwa au kuahribika mara tu unaponunua BB ingine unauwezo wa ku restore. Kila kitu...
Prove that 2+2=0.
Art student this question is out of syllabus.
Commerce student problem is not well defined.
Doctor research in progress but no result found.
Engineering student...
Wakuu poleni na uchovu wa siku, natumaini kila mmoja humu yupo mzima wa afya na kama yupo anayeumwa basi tumwombeeni aweze kurudi hali yake ya mwanzo. Wakuu mimi ninatatizo la kutoelewa ni njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.