Habari wadau natafuta griver za mashine hiyo hapo juu nahitaji kuitumia kama printer kutoka kwenye pc lakini nikidownload driver zake zinakuja kama .zip zina shindwa ku execute mwenye link ambayo...
wakuu nlikua naomba msaada
wa software inayoweza
kuburn svcd kwenye dvd deki
yangu ni singsung nikiweka
video kwenye flash inasoma ila
sijapata jibu nkiziburn kwenye
dvd
wakuu nlikua naomba msaada wa software inayoweza kuburn svcd kwenye dvd deki yangu ni singsung nikiweka video kwenye flash inasoma ila sijapata jibu nkiziburn kwenye dvd
simu yangu ni nokia 5230 haisomi PDF life,lkn niki-download inakubali,baada ya kudownload halifunguki file. Nikitaka kufungua inaniandikia "unable to open,File type not supported" waungwana je...
Helo, wadau.
nafungua blog yangu soon, still under construction.sasa nahitaji maelekezo ya jinsi ya kuweka icons mbalimbali na gadgets, on the sides..asanteni.
WanaJF nattmia simu aina ya Nokia 5130 XpressMusic. Kuna Theme nilikuwa nimei-save katika Memory Card sasa nilivyoitoa simu ikawa na uweupe na haikuzika wala ujumbe wowote haikunipa. Nilivyoiweka...
TANZANIAN BLOG AWARDS RESULTS
Special thanks to our viewers and all for nominating and voting for Knowcache to be the Best Science/Technology blog in Tanzania.
Heshima wakubwa, Naomba kufahamishWaa ni Jinsi gani naweza kupata huduma za dstv mobile wanazotoa vodacom,kwenye iPad. Nimejaribu inaniambia device not supported!
Heshima mbele.
Wadau naomba msaada wa mtaalamu nina modem ya tigo imegoma kuunganishwa inaandika
~ 687 Error: Remote could not respond#
Nimejaribu hadi hoi. Mtaalamu anisaidie Asante.
Salama wakuu,
yeyote mwenye ujanja anijuze,natumiaje bb network ku connect kwenye laptop au pc?kuna njia yeyote ile?naomba kujuzwa either kwa bluetooth au njia yeyote ile.
Natamguliza shukurani
Habari wadau hasa wale walioko ktk medani ya IT, ebwana nataka kufungua net cafe lakini bado sijapata ISP kwa maana wengi wanazingua. Kama unamfahamu provider nzuri hasa kwenye price na speed niambie.
Habari zenu wana JF, naomba msaada wa kutatua hili tatizo kwenye flash yangu kwani kila nikiiweka naambiwa Your USB device is not recognized
Nawasilisha.
Ok kwa wale wa torrents this is your moment zbigz premium account for 48 hours jamaa wanaleech in seconds na speed ni amazing see the screenshot below.
THE ACCOUNT!
email...
habari wadau
naomba msaada wenu wa kitaalamu kuhusu namna ya kuinstall sony vegas.Nimejaribu mara kadhaa kuinstall lakini nimekuwa nikikwama mara zote,pale inapodai serial number,nimejaribu namna...
wakuu naombeni msaada hapa, nahitaji ka software ka kudownload mp3, kiasi kwamba naweza kupakua as many as i can na zina download kwa wakati mmoja sio ile ina download wani wani songi afta anaza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.