Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mtu yeyote mwenye hii software ya Poser 9 au Poser 2012 pro please naomba anihelp BURE...
0 Reactions
0 Replies
556 Views
Habari za humu wana jamii forum? Naomba mnieleweshe ni vifaa vipi vinavyohitajika ili kuweza ku flash simu za Nokia. Nasikia tu kuwa sijui kuna box, sasa hilo box ni kitu gani? Na je vifaa hivyo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wadau me matumia nokia 5130 xprss msk,then kila nnapodownl antivirus inakuw katika fomat ya SIS,na inakataa kufunguka et file format unknwn.plz pigen vichw hapa mwenzenu npone!
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari MwanaJF,Nikifungua Internet Explorer,Mozira Firefox n.k huwa zinakataa kunipa Internet ila leo nimegundua ktk Program hizi kuna mahali ambapo kuna vinara vipo vitatu(3) vinaashiriwa kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu kwa wale wataalam na wenye maujanja na maujuzi ya kuchakachua modem nilikuwa naomba msaada wa kuichakachua hii moderm ya zantel HUAWEI CDMA model EC 122 ili niweze itumia na line...
0 Reactions
1 Replies
898 Views
Need someone to help me order something on amazon.com, i dont have a credit card but i do have money, il pay you for just helping me owt :) Thanx
0 Reactions
2 Replies
743 Views
Wakuu nina hitaji fundi machine yangu hp kioo kimepata kreki hvyo akioneshi fresh nataka nikibadilishe kuna mtu anayeweza kufix hlo tatizo na screen nitapata wapi na kwa shi ngapi mwenye kujua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TAHADHARI KWA WATUMIAJI SIMU ZA MKONONI: Simu zinatumia Mionzi ya MICROWAVE ambayo huwezesha kuunganisha simu yako kwenda kwenye Mnara na mnara huunganisha Simu yako na Mitambo ya Mtandao...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Wadau nikitumia proxies za voda free internet kuna websites zenye streaming za video zinagoma ku-play na kuniambia up-date your flash player or enable java. Ila zote zinakuwa updated na enabled...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana... tunatoa ofa ya kutengeneza website kwa ajili ya organization au kampuni bila gharama yoyote ila kwa makubaliano kuwa itakapokamilika itabidi ugharamie gharama kwa ajili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Google wameintroduce Google drive. 5GB za bure kuhifadhi mafaili yako mtandaoni. Hii itakurahisishia kuhifadhi, kubackup na kushea mafaili yako mtandaoni. Hii ni huduma mbadala ya dropbox. Kwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
wadau naomba msaada wa namna ya kuchakachua modem yangu niweze kutumia internet bure kwa line na modem ya voda
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna computer moja Dogo kabonyeza function mouse ikaacha kufanya kazi mpaka key board tu sasa nifanyeje ili irudi kama awali? Ni dell 610
0 Reactions
5 Replies
852 Views
Wakuu naomba msaada wenu, kupata DVR Kama hiyo au tofauti ya kudumu na pia bei nzuri nina haraka kidogo na baadae ntapenda nipat camera zake, au mtu anayeuza CCTV system complete kwa bei nzzuri...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
naomba mnijuze hayo madhara na je kwanini tcra hawajali chochote kuhusu hilo?
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Wadau wanaoutumia voda free proxies kwa kutumia premium link generator ya Link Premium Generator | Generate Premium Links katika ku-download naona inanizingua. Je, kuna njia nyingine ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nawasilisha wadau
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Is there anybody looking for a schoolmanagement system which handles student,teacher,class , curriculum data and even total school accounts, if so please contact me here or on 0754261667...
0 Reactions
0 Replies
748 Views
wadau salaam, Memory card yangu inadai kuformat kabla ya kufungua, na mimi nataka toa picha kabla sijaformat! Help please!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Unaweza kubrowse kupitia proxy maana wanatublock tusio marekani http://www.uswebproxy.com/index.php?q=aHR0cHM6Ly9wbGF5Lmdvb2dsZS5jb20vc3RvcmUvZGV2aWNlcy9kZXRhaWxzP2lkPWdhbGF4eV9uZXh1c19oc3Bh
0 Reactions
2 Replies
957 Views
Back
Top Bottom