Hongereni kwa kaz wadau wote wa jamii.nina laptop aina ya accer ina window vista.sasa nataka niweke xp na kila nikianza kuformat ikifika kwenye partition kompyuta inazimika.msaada pls
Kuna Watu Jijini Dar Es Salaam wamekuwa akiwashawishi watu kuwa ile kampuni yaTalktel, kampuni ya simu ilokuwa inasubiriwa kwa hamu mara habari zake zikapotelea hewani sasa inakuja tena Tanzania...
Wadau naombeni msaada wa nini cha kufanya nimenunua DVD Rom yenye connectors tofauti na iliyokuwepo kwenye computer, hii mpya sehemu ya kuchomeka Power cable ni ndogo sana na pia sioni sehemu...
Jamani naomba msaada,built-in-browser ya phone yangu haioperate tena na ni baada ya huhack internet ya zantel na kutumia kwa muda wa 2weeks,na nilidownload zaidi ya 1GB pamoja na browsing kwa...
Ndugu wanajamii naomba mnipe ushauri wenu juu ya hii blog ambayo nimeitengeneza.. Ushauri huo naomba uwe wa"technical" au unaweza ukawa ni kwa upande wa "user perspective".. Nipo tayari kupokea...
Wana jamvi naomba msaada wa link itakayoniwezwsha kupata tutorials the tally 9, kila nikizasaka kwa net uwezo wangu unafikia ukomo ila mafanikio.
NAWASILISHA.
Ninatumia king'amuzi cha ZUKU na mimi hupenda kuona LIVE hasa mpira. Nimefungua Zuku matangazo yanakuja yakiwa yamechelewa, mfano nikiweka dish(FTA) au antenna nakuta wanashangilia goli wakati ktk...
Naomba kuuliza wakuu, juzi nimedownload movie ya avatar ambayo ni 3d, je naweza kuichek kwenye pc yangu nikipata 3d glasses? Je hizo 3d glasses zinapatikana madukani? na price yake inarange vp...
Kuna mwanajamvi aliweka post humu juu ya uwezekano wa kufua umeme wa bure. Post hiyo ilizua mjadala mwingi hapa jamvini. Katika pitapita zangu, nimeiona hii. Hebu tuangalie na kutafakari...
The US Federal Bureau of Investigation (FBI) has issued another warning to computer owners to check their desktops and laptops for a piece of malware that could cause them to lose Internet access...
Habari wanajamii, niliwai kuskia kua zantel na TTCL wanatumia technolojia ya CDMA, swali langu ni kua je naweza kutumia line ya zantel kwenye modem ya TTCL.. Mwenye ufaham juu ya hili naomba...
kwa wale wenye ungo ulioelekezwa intelsat906 pale zinapopatikana tvs za bongo mnaweza kufurahia epl la liga leo sebuleni kwenu mki rescan receiver zenu au kwa kuweka 4136 v 7200 kama decoder zenu...
samahan wana jamii ..nmepewa simu ya i phone hv juzjuz lkn sjui ka ni original au la hasha ! imeandkwa made in china... na ina apps za kutosha.. natanguliza shukran kwako.
Wakuu nina E mail mbili yahoo moja nilifungua 2005 na nyingine nilifungua 2009. Mara ya mwisho nimefungua kutumia simu yangu. nilipojaribu tena kufungua kwa simu wakaniambia natakiwa kutumia desk...
hallow wana JF natumia ubuntu 10. kila nikiweka password inagoma inaniletea message hii "install problem.. the configuration default for GNME power manager have not been installed correctly...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.