Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Salamu wakuu... laptop tajwa hapo juu imepoteza sauti...ina Win7... nimecheck settings na drivers ziko Ok.. tafadhali msaada on how to get it back to work... shukrani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
There are many numbers of hacking techniques available and each hacking attempt happens for a malicious purpose. The word hacker means attacker who assault on the computer's system security...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari znu wakuu, juzi kati hapa nimeanza kusoma IT kwa level ya dplma, kna ma asgnment kla kukcha, nachoomba msaada ni website ambzo nawza pata data mbalmbali, dah yaani namkumbuka kilongwe, hv...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natumia hiyo program hapo juu lakini nina siku nyingi natafuta Cd key zake nimeshindwa; hata nikijaribu ku-dowload inafika sehemu inagoma. Tatizo ni kwamba siku za nyuma nilikuwa natumia version...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JAMANI MSAADA WENU NINATAFUTA ADAPTOR YA LAPTOP AINA YA SAMSUNG VOLT 19 TUWASILIANE KWENYE nitashukuru kama mtanisaidia
0 Reactions
2 Replies
774 Views
Wadau nilienda vodashop kuwaomba waactivate laini yangu kwa huduma ya Who called(nani alipiga nilipofunga simu) ambapo ukiwasha simu unakuta msg ya kukujulisha nani alikupigia wao walisema...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jf mwenye uelewa mzuri wa hii cmu anipe kidogo kama ni nzuri au vp? na pia ninaweza kupata huduma kama emails etc
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeinstall a fresh copy of windows 7 kwenye laptop yangu aina ya dell inspiron N5030, baada ya kumaliza baadhi ya drivers zikawa zinamiss, nikajaribu kudownload kwenye website ya dell...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu.. Naulizia kama kuna hackers yeyote hapa bongo na km kuna mwenye mawacliano nae aniunganishe nae its very ugent wakuu... Natanguliza shukrani zangu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu, Naomba msaada wenu katika hayo mambo niliyoyaorodhesha hapo chini ili kufanikisha utafiti wangu mdogo kuhusu Internet Business hapa TZ 10 Most popular Blogs 10 Most popular Community...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakati natumia internet hapa nimeona alert Mozila 8 is available to download. Mimi nashindwa kuwaelea mbona kuanzia version 4 wamefululiza kutoa verion mpya fastafasta? Lakini pia mbona sioni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
How to disable autorun for USB drives or Pen drives? USB drives or Pen drives are the major carriers of computer viruses. If we use it only on our personal system there will be no problem. But...
1 Reactions
1 Replies
7K Views
Symptoms when infected by Bar311.exe or Winzip123 The virus comprises bar311.exe,password_viewer.exe, photos.zip.exeand pc-off.bat. When you boot your Windows XP in Safe Mode the message...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
habari WANA jamvi,nimeinstalll microsoft office vizuri kabisa,na ina kila kitu ikiwemo power point program,lakini kila nikijaribu kufungua mafile yaliyopo ktk format ya ppt ina kataa kabisa,ingawa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Zenu, Mimi ninataka kufungua CRDB Bank account ile nitumie kwajili ya online shopping..sasa nilikuwa ninauliza CRDB Initial Deposit ya USB Account ni shs ngapi?,,yani hela ya kianzio ya $...
0 Reactions
30 Replies
18K Views
As expected, the Mozilla Project has officially announced the release of version 8.0 of its open source Firefox web browser. Based on the Gecko 8 engine, Firefox 8 adds Twitter as a new default...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
any one Having the informations on How i can get the device which can help me to implement the virtual machine system ( using one cpu for more than one client at a time) please contact me through...
0 Reactions
1 Replies
915 Views
Wenzetu wameendelea,wanaanza kuvumbua vituko...Hebu cheki hizi picha Mto wa kulalia wenye mkono wa mwanaume Kofia yenye kitambaa cha kujifutia makamasi Butter iliyo mfumo wa gundi Huitaji...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kwanza natanguliza salam kwa ma great thinkers. Now twende straight kwenye point. Simu yangu nikiunganisha kwenye pc inakonect vizuri but nikiselekt pc suit haifanction tatizo ambalo before...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom