Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari jf members.nilichomeka modem yangu ya vodafone kwenye usb port ya kompyuta ya mezani,ghafla ikawa ya moto sana,tangia hapo kila nikichomeka kwenye kompyuta yoyote massage hii hutokea 'one...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inawaka vizuri, ila baada ya muda inazima na kuniandikia haya maneno. "A problem has been detected and window has been shutdown to prevent damage to your...
0 Reactions
3 Replies
918 Views
The following disassembly guide will explain how to take apart a Sony Vaio PCG-K series notebooks. I created this guide while taking apart a Sony Vaio PCG-K25 notebook but I think you can use the...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Is your computer infected with virus? Do you often get mysterious error messages? Well this is a common problem faced by almost all the computer users across the globe. There are many viruses and...
1 Reactions
0 Replies
959 Views
Ok habari zenu... Ninajua sikuhizi unaweza kuship na kununua vitu online to Tanzania BUT! i have some questions kwa watu waliokuwa experienced navyo..Ukinunua e.g A DVD from Ebay or anysite which...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Baada ya kuona watu wengi wakipaa matatizo mbalimbali kutokana na jambo hili leo nimeona tupeane somo kidogo juu ya jambo hili. Ni mara nyingi utasikia mtu akisema nataka kubadilisha operating...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
ni laptop aina ya Dell Latitude D600, ya zamani eti? Basi huwa inapiga kazi si mchezo,sasa hivi imeanza kutoa mlio wakati wa kufungua files hasa kama ni file kubwa,mlio wenyewe ni wachini sana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari Natumia nokia x2 imekuwa installed opera min version 4.2.12 kiukweli siipendi sio nzuri kama version 6.1 ila nashidwa jinsi ya kuibadili je kuna njia yeyote ya kuweza kuibadili?
0 Reactions
14 Replies
3K Views
blackberry curve ni lak 3.7 mpya ninazo 6 iphone 4 ni lak 4. 5 mpya ninazo 7 samsung galaxy lak 6 ipo 1
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari Kuna nembo flani hivi natakta niiprint kwenye document flani nimefanikiwa kuikopi na kuipaste kwenye document yangu cha ajabu nilivyo iprint kwenye ile nembo haikutokea je tatizo liko wapi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamii, naomba wapi nitapata unlock key ya nokia x6, nimegoogle kwa muda , naona nazinguka tu, any linkl regrds mja
0 Reactions
4 Replies
1K Views
A key fell off the laptop keyboard. Fixing the problem. One or more keys fell off the laptop keyboard and you are not sure how to put them back? Don’t worry, most likely you can fix the...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
wakuu hili tatizo linanikera sana. yaan ipo yang ya 30gb imekua slow sana kurespond adi natamani kuipasua. unaweza ukaselect mziki ukashangaa una play baada ya dakika tano. au inaweza ku stuck...
0 Reactions
3 Replies
908 Views
NIMENUNUA hp pavilion dv2000 ikiwa na win Vista,nikaitoa na kuweka WIN 7,baada ya hapo matatizo ya ku hibarnate yakaanza kutokea,nikiwa natumia mara ghafla inazima,nikiwasha ina resume na smtm...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wandugu nina ka mini laptop nilikanunua na Window XP na sasa nataka kuweka Window 7 Professional ambayo nina DVD yake niliyonunua nayo na computer nyinge ya ya Dell 780 Sasa nataka fanya upgrade...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
kwa wataalam wa magari,hii gari inafaa kwa mazingira yetu hapa tanzania? je spear zake zinapatikana? je ni gari imara?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
salama wakuu? mimi natumia samsung ch@t2222 au unaweza iita gt e2222. kasimu kangu haka kapo poa kwenye mambo ya net ila tatizo limeanza kujitokeza la slow connection. natumia opera mini,kuna mda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Amazon is set to join the tablet wars on Wednesday as it launches a rival to Apple's best-selling iPad, a device that has made digital tombstones of all the competition so far. The online...
0 Reactions
3 Replies
909 Views
wadau nina dvds zangu za movies collection mbili ambazo nimekuta zimefutika ile material ya silver ndani yake ambayo ndio hasa inayohifadhi kumbukumbu, kwa hiyo ukiweka kwenye player haisomi kitu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani mwenye kufahamu iwe duka au mtandao ambao naweza kupata Laptop aina ya DELL kwa TZS.700,000/= yenye RAM minimum 4GB na kuendelea, screen size 14 inch na kuendelea, webcam, bluetooth, WIFI...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom