Wakuu habari za jioni
Laptop aina ya dell nilikuwa nabadili windows,kutoka window7 kwenda window 10.
imepotelea hatua Baada ya kubonyeza boot key,nika select usb storage kama kawaida,baada ya...
Husika na kichwa habari hapo juu.
Natafuta hiyo generator isiyotumia mafuta, Kama kuna fundi anaeweza kutengeneza tuwasiliane. Naona India wanazitengeneza nafikiri hata hapa nchini pengine wapo...
Napenda kuuliza ,mimi nimeingia mkataba na google adsense kutangaza matangazo kwenye blog yangu,na nimeshafikisha dolla 10,wamenitumia pin code,zitachukua siku ngapi kufika Tanzania kwa...
Swali hili watu hujiuliza kwa mda sana nikiwepo na mimi kama kunauwezekano wa kutengeneza kipato kwa kupitia Internet..........
Basi wakat wa zamani kulikua na app nyingi zinazotoa mda wa...
Habari za majukumu ndugu zangu.
Nimepewa kazi na shule X, niwatengenezee mfumo ambao wao wataweza kuapload notes matokeo n.k.
Lakini pia mwanafunzi awe na uwezo wa kuingia kukoment na kupakua...
Habari wadau ,, naomba niende kwenye mada,, ni siku nne Sasa majina mengi yametoweka ktk sim yangu hasa yaliyokuwa saved ktk email nimepambana kila namna nimefeli msaada pls"
Naombeni msaada wa kurudisha whatsapp app kwenye simu yangu.
Nilibadili number ya account kwa makosa na nilipojaribu kuirudisha tena ikakataa, option niliyoifanya ni ku-uninstall whatsapp ili ni...
Trick mbali mbali za simu
Wengi hukumbwa namatatizo katika simu zao ambayo kama yakiachwa basi huaribu mfumo mzima wa simu na kusababisha kukosa mawasiliano ambayo kw adunia ya leo tunayahitaji...
Habari Wakuu,
Kuna mwenye idea ya kuweza kutoa hii kitu my website uki acess via chrome browser / google search engine ina display hio message msaada tafadhali.
Habari,
Toa ninunue simu yangu nahangaika kuitafuta radio sijaipata.
simu yangu ni Oppo A8 Mwenye kufahamu jinsi ya kupata radio (offline) anielekeze jinsi ya kufanya.
Asanteni
Wakuu habari ya muda huu? Mwezi March nilinunua laptop aina ya Dell 7480 ikiwa mpya kabisa.
Laptop yenyewe ina ram ya 8gb na processor ya iCore 7 na SSD ya 526gb.
Nimekuwa nikiitumia kwa shighuli...
Tajiri namba 1 duniani mwenye mbwembwe amejichomoa kwenye deal la kuinunua Twitter kwa malipo ya $44 bilion.
Wakili wake anasema Twitter wameshindwa kumthibitishia madai yao ya kuwa idadi ya fake...
Kwa wajuzi wa mambo nahitaji kufahamishwa hili, Mfano nina unit 12 kwenye luku na nna washa feni ya watt 70 au taa ya watt 5 nawezaje kujua taa ya watt 5 inaweza kuwa kwa masaa mangapi kwa unit 12...
Hello bosses,
Nimekua nashiriki kwenye bug bounty programs na Pentesting lkn nikaja kugundua changamoto kubwa ni vifaa(software tools & scanners) pamoja na poor reporting. Yaan pentesting project...
Here is a list of ADB commands that you can use through CMD or ADB Shell on local device: ADB Basics adb devices (lists connected devices) adb root (restarts adbd with root permissions) adb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.