Naomba kujua Kuna tofauti ya ulaji wa unit Kwa mita za zamani na mpya za rea?nazungumzia matumizi ya unit kwisha ni sawa.kwamba zote mbili nimeeka unit 5 matumizi ni sawa.uishaji unalingana?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimebahatika kuona nyuzi mbalimbali zikiponda simu zinazotumia chipset za MTK na wakisifia simu zinazotumia chipset za snapdragon au Qualcomm
Naomba mnijuze...
katika C, ni ipi njia halali ya kuangazia jumla-kama printf ambayo itachapisha tu wakati alama ya DEBUG imefafanuliwa?
#ifdef DEBUG
#define DEBUG_PRINT(???) ???
#else
#define DEBUG_PRINT(???) ...
US Democrats have urged the FTC (Federal Trade Commission) to crack down on deceptive practices in the Virtual Private Network (VPN) industry, The Verge has reported. In an open letter, Rep. Anna...
Wandugu nilikuwa natumia Samsung yangu kama hotspot bila shida. Tatizo lilitokea baada ya ku update software ya Samsung.
Sasa kila nikijaribu kufanya connection, napata error kwenye laptop kuwa...
Kwanza nianze kwa kuweka wazi tu mimi sijasomea kompyuta kabisa wala sina ujuzi wowote maalumu wa hiyo kitu (hata introduction)
Pamoja na hayo, nimekuwa na interest nayo sana kompyuta kiasi...
Kwasababu ya muda ambao watu hutumia mtandaoni, ni muhimu kuelewa uhusiano kati ya Afya ya Akili na Teknolojia, kwani mbalimbali Tafiti zinaonesha matumizi ya Intaneti kupita kiasi yana madhara...
simu yangu kunaa baadhi ya text haisomi inaaleta alama hizi,nimejaribu ku updade lakini tatizo bado ni lilelile,nifanyeje
Simu samsung galaxy j7 prime.
(NB: UKITUMIA DAKIKA 7 KUTULIA NA KUSOMA NAKALA HII MPAKA MWISHO, UTAKUWA UMEONDOKA NA JAMBO KUBWA SANA LA KUBADILI BIASHARA YAKO MTANDAONI)
Moja ya sababu kubwa website nyingi za biashara...
Binafsi mara kwa mara huwa napenda kutumia laprop kitandani, sasa unakuta latptop inakuwa yamoto si mchezo kwenye upande wa feni na hii huwa naona kabisa ni tatizo kwa laptop.
Tunawezaje kutatua...
Simu tajwa hapo juu zimenivutia maana naona kama zina spec sawa ila zinaachana padogo dogo
Redmi nimeipendea camera 50mp oppo 16
Oppo tena nimeipendea yeye ana finger sensor ya pembeni Redmi...
Habarini za jioni ndugu zangu!
Nimekuja na uzi huu maalumu kwa "Save for Save" huu ni mtindo unaotumika kuunganisha watu mbalimbali kuwa karibu hasa katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp, ambapo...
Habari za kazi wadau, naombeni mnifahamishe nitakapopata thin clients za ncomputing nazihitaji kwa ajili ya business yangu ndogo. Nimezichagua hizo coz naona zitakuwa less expensive and easy to...
Wakuu naomba kujua uhalisia wa bei za simu used Zanzbar, maana nikiangalia kwenye page mbalimbali insta bei yake ndogo Sana mfano Samsung s10+ kwa laki nne. Nilipouliza page moja utaratibu...
Habari za asubuhi wakuu! Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, kwa yeyote mwenye link ya gb whatsapp new version naomba anisaidie tafadhali maana whatsapp yangu ime expire kitambo kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.