Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Siyo kwamba nimeisahau bali ninaitumia kila siku na ina hata hint lakini inagoma kabisa kwa sasa na humo kuna mambo muhimu sana Hapa solution ni nini? nitashukuru
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hallo wana Jamii leo asubuhi nawasha laptop yangu, ikawa inatoa mlio na baadhi ya keys zikawa hazifanyi kazi nimeifungua na kuisafisha na kuifunga tena lakini tatizo bado linajirudia... ninaomba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Top 15 Terminal Commands for Hidden Mac OS X Settings Update: This article is very old. Most of the Terminal Commands still work, but consider checking out our top Terminal commands for Leopard...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ninayo hii kwa sasa... watakaoihitaji twaweza kusaidiana. See what's new in AutoCAD 2012: Download the brochure - http://images.autodesk.com/adsk/files/autocad_2012_product_brochure_en.pdf...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina computer desktop kwa miaka minne sasa ila sasa imeanza tabia ya kujizima baada yakuwa nimeiwasha, nikahisi ni uchafu tu ila nilipoifungua na kuishafisha ndani nikaitest kuwasha tena ikawaka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya kufirisika kampuni ya g-tv watu walishindwa kuvitumia tena vyombo hivyo chizi computer ukitaka kutoa lock ya g-tv ili upate chanell ambazo una zi control we mwenyewe password ni hii...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
naombeni msaada kutatua hili tatizo. Huwa natumia huawei e1550 in win7 ultimate kwa muda mrefu, lakini ghafla ika-disconnect. Niki-connect in display hiyo error. Nifanyeje?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jaman jaman,hv been taking my time kufwatilia hilo swala. Am using Nokia 5800 xpress music. Fwatisha maelezo ya fuatayo kwa makini sana. 1. Ikia kwny link hii...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
May 30, 2011 THE African Network Information Centre (AfriNIC) is to hold its 14th bi-annual meeting from June 4 to 10 in Dar es Salaam, Tanzania with this year’s main themes being IPv6 deployment...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau wa techn naomba mwenye key ya vuze plus aniwekee hapa natanguliza shukrani
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kijana wangu mmoja anasoma katika chuo fulani cha computer Arusha, Baada ya wiki moja ya masomo yake nikampa kazi fulani anisaidie lakini baada ya kugusa computer yangu akabaki akishangaa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wana jamvi,ninatatizo la ku instal baadhi ya software kwenye window 7,nifanye nini?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
..naomba msaada wa key za kaspsky waungwana.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina website ambayo awali nilitumia static html and simple javascripts pages,ikawa inawork vizuri katika Dreamweaver. Nimejaribu kuongeza baadhi za features na kufanya implementation kwa kutumia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hawa jamaa kila nikiona yale mabango yao na jinsi wanavyosema ukiwa na zantel kifurushi chako kinatumika taratibu kama mshumaa, nawashangaa sana. Sasa hapa ina maana speed yao ni ndogo ndio...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Chizi computer kwa wale wenye machine hp dell toshiba samsung fujust nanyengine chizicomputer ata wapa maelekezo kutoa bios lock 0712484995
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Nimejiunga na kifurushi cha unlimited for 30 days cha vodacom aisee ina speed nzuri cjapata ona naeza download like 4 GB Kwa masaa 12. usipimee nawashauri mtumie hiii...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Jaman nko katka wakat mgum, hyo namba inanisumbua lakn mmiliki wake smjuw! Tafadhali,mwenye skills za intelijensia, anipe data za hyo namba ni nan na yuko wapi?
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Poleni wana JF wote kwa majukumu. Ivi karibuni nimejiunga na hiyo bank ili niweze kupata baadhi ya huduma zake za kibenki while I am at home or anywhere provided internet ipo. Nishapewa ID na...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Jioni njema wana jamii wenzangu. naomba msaada wenu wa smtp ya Zantel.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Back
Top Bottom