Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hv mtu akiwaa na diploma ya computer science eng kima cha chini ni sh ngap'na akiwa na diploma ya it kima cha chini sh ngapi'
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dear members we have accomplished 90% of construction of Transport sector database. I am inviting you to visit www.transportinfo.go.tz. It is a database where you can access information in form of...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wataalam wa program. katika kuendelea kujifunza kwa vitendo mambo mbali mbali ninataka kupata ushauri wa kitaalam, au source ya article nzuri au hata souce ya Video training zitazotuwezesha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba Msaada wa code za IDM 605 kwa mtu mwenye nazo,NIlikua natumia trial version lakini muda wake umeisha na nimeipenda sana hii Software,Natanguliza shukrani kwenu wana Jf...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
The following are the specs for my Power book G4 15' Mac OS X Version 10.3.9 Processor 1.5 PowerPc G4 Memory 1GB DDR SDRAM Apart from that it has the following accessories: 2...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nafanya final year project katika ICT hapa mlimani sasa kuna program ya macromedia flash professional 8 nimeipata ila nashindwa kuitumia. Nataka kutengeneza multimedia content for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimewahi kusikia kuwa kuna namba unaweza kuingiza kwenye simu kwakulenga namba fulani ikikupigia usipatikane na unaweza ukaitoa na baadae akikupigia ukapatikana. kama kuna mwana jf anaijua naomba...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Let us discuss about this at: Tanzania Cartoons Studio - JamiiForums | The Home of Great Thinkers
0 Reactions
0 Replies
4K Views
jinsi ya kuweka program kwenye cd mpaka ikawa installed kwenye computer za watu wengine. Namaanisha kama nimeandika kwenye text pad na nika compile na nika run, lakini hii program yangu nataka...
0 Reactions
2 Replies
913 Views
Hello JF once again, Napenda kuchukua fursa hii ya ukweli na uwazi, kuwakribisha wana JF katika kutia nguvu kazi katika Project yangu iliopo katika tovuti ya hapo chini---unataweza kufaidika vipi...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
WanaJF wote mambo vp? Naombeni kuuliza kwa wanaofahamu tatizo liko wapi? Natumia simu ya nokia E61i napata hizo channel live ila tatizo wakati wa mchana zinakwamakwama sana ila usiku kuanzia saa 6...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau, Habari yenu wote?! Natumai J2 yenu inaisha vema? Embu nisaidieni, nimenunua Multifunctional Printer (MFP) ya HP, 2050series lakini inasumbua kwenye ku-scan. Inaniletea msg hii hapa "Scanner...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar watalamu?Nina digital camera pamoja na pc.Nahitaji kuanza kupiga pasport na kusafisha,ili nipate fedha.JE NAHITAJI VIFAA GANI ZAIDI?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau, jana niliweka simu mezani: kijana wangu mdogo akaichukua na kuanza kuichezea, nlivokuja kustka imelock line (Vodacom) inaomba PUK!!! Bahati mbaya kabisa nilishapoteza (Hii line ni ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
pls anayejua kudesign simple amplifier pls naomba msaada wake anielekeze
0 Reactions
2 Replies
1K Views
na2mia nokia e51 nilimpa m2 cmu yng ai2mie kwa wiki bt imerud ina lock code nided!nimetafuta master code generat software bt inagoma kugenerate mastercode za bb5 phone! Any1 2save me 4dis pls?
0 Reactions
0 Replies
801 Views
1.TUMA NENO SUB KWENDA NAMBA 15524,utapata maelekezo ya kuchagua lugha nawe utachagua 2.bonyeza **62*+255784101125# Mpaka hapo utakua umeshajiunga na huduma hiyo ambapo utakapopigiwa simu...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Tazama sasa hivi ni saa 12.58 jioni kama unaniona nimevaa vipi,nasema nini ikifanikiwa hii ,tunaachana na mambo ya kutegemea TV za kibongo kama leo tulivyokosa matukio muhimu Tabora,Uganda,Dar...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani, kwanini tunakua nyuma kiteknolojia kiasi hichi Watanzania?..Kutwaa mabegi na vibahasha eti tunasoma IT !!!...Ebu waliosoma waungane angalau na sisi tuambiwe tumetengeneza Software...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Wakuu nisaidieni kunijuza, natumia USB Stick ya HUAWEI ya Zain (airtel) na nina line 2 (sim-card) niliyoanza nayo ilikuwa modem inawaka rangi ya bluu 3G sasa hivi imepotea natumia ingine imewaka...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom