Can anybody help me please?
I need help with my Assignment:
This assignment is about concurrent programming in JAVA
I'm required to come up with a system that can simulate an Automated Teller...
Naomba msaada wataalam!PC yangu ninapo play video kwa kutumia VLC PLAYER inaonyesha picha kwa kufifia sana,weupe unakua umezidi sana kwenye picha.JE TATIZO NI NINI?WAPI NILIPOCHEZEA?naombeni msaada.
Habari za weekend wakuu...
Nimejiregister na hii online system ya bodi ya mikopo.
Tatizo nimepoteza password, nimejaribu kuireset kwa kutumia swali la siri waliloniuliza nikiwa na register...
Hivi wakubwa inakuwaje kuchakachua star times mbona inazingua?
Ukijaribu kuchakachua inatokea sauti tu bila picha naombeni mwenye ile link yenye zile code aniwekee hapa,au ani pm maana hawa jamaa...
Ni matumaini yangu kuwa wana JF wote ni wazima! Kiukwel wakuu huwa natamani sana kujifunza na kuijua sana Adobe photoshop! huwa naona wivu sana pale napoona baadhi ya picha zikiwa zimefanyiwa...
--->Uliwahi kujaribu kutengeneza cartoon ya kiswahili kama kirukuu au Sara ?
---->Unajua software gani hutumika kufanya kazi hizo?
---->Unajua kazi hii inaweza kuchukua muda gani?
---->Unajua kazi...
Description:
How to set up 404 error tracking with PHP and Apache Server.
***********
If you've noticed an abnormal number of 404 errors being hit on your site, there is probably...
Wakuu salama? Naomba msaada kwa wale wataalam wakuchakachua DSTV,mshua amegoma kabisa kulipia siku hizi ndomana nataka nifanye makaratee. Naomba uni PM ili hawa jamaa wasitusanukie. Shukran wakuu
habari zenu wanajanvini! hard disk yangu nikiichomeka kwenye computer inaniambia 'your hard disk need you to format before using it" mara ya mwisho nilliweka kwenye computer ya jamaa yangu...
jamani wana jf,kuna watu wananilalamikia kuwa wananitumia sms kwa no.yangu ya voda,simu zao zinaonesha kuwa message delivered,lakini mm sizipati,tatizo litakuwa ni nini?
Mkubwa kuna jamaa kanunua CD yake ya anti virus kaspersky 2010 na ina key zake! Je akishai2mia kwenye computer yake,je na mm ntaweza ku2mia CD hyo hyo na key zile zile ku-install kwenye computer...
Habari zenu wadau?nimepata tatizo na laptop yangu,nimeiwasha asubuhi inakuja white screen bila chochote kuonekana,nimejaribu kuboot nifanye repair ya window ila command za kuboot ukibonyeza F12 au...
Habari zenu wadau popote mlipo, jamani naombeni mnisaidie kuzitoa hizi application errors msg zinatokea kweli kwenye screen yangu mpaka napata wasiwasi kuwa kuna siku litanizimikia kabisa, naomba...
ninnaweza kusikilizana na nilinayo iphone 3G. imeacha ku "ring} simu ikiingia. mimi nikipiga naweza kuzungumza na niliye mpigia. naomba msaada ya jinsi ya ku "re-set" iweze ku ring kwa simu...
According to information posted at Security Forum, the regions premier security mailing list, Rwanda security forces are in Kenya on a hacker recruiting mission.
By Dennis Mbuvi
April 07...
Wakuu habari za weekend?
Nafikiri comp yangu inatatizo, inaniambia "You may be a victim of software counterfeiting. This copy of windows did not pass genuine windows validation.
Halafu inaandika...
wakuu habar yenu. Mwenzenu juzi juzi psp yang light ilianguka bahati mbaya nakuvunjika display yake. Nimehangaika sana kutafuta replacement bila mafanikio. Naomba msaada kwa anaeweza faham mahala...
Hawa tigo wa hizi msg zao za promo zina kera..usiku umelala unasikia msg imeingia ..unaangalia labda ni msg muhimu kumbe tigo na promo zao..sijui inawezekana vipi kuzizua hizi