Wadau ma great thinkers, naomba nitoe ujumbe ambao nadhani unaweza kuwasaidia wale wapendao mambo ya ku Fix matatizo kwenye computer hasa window seven.
Si unajua bongo, nilimuomba mjasi a.k.a...
Wandugu,
Naomba kujua software amabyo naweza kutumia ili kukopi movie kutoka katika DVD ambazo ziko protected, maana nimeiingiza nataka kuibanjua, basi naaambiwa haionekani DVD yako.
Nitashukuru...
Mouse ya laptop yangu toka jana imegoma kufanya kazi natumia ile ya kawaida lakini kabla sijaipeleka kwa fundi naomba nisaidiwe huenda ikawa ni swala labda la setting
Tuongelee yote kuhusu engineering Tanzania,
Cdhan kama nimekosea jukwaa hapa ndo mahala pake, Ningependa kufahamishwa kuhusu soko la engineer tanzania, Tuongelee yote kuhusu ajira, Tenda zao...
Naomba msaada wa kujiunganishia internet ya TTCL kuna waya wao wa simu upo ndani nyumbani. Je ninahitaji vifaa gani vingine ili kuweza kujipatia huduma za internet kwenye kompyuta yangu? Naomba...
Nilikuwa na avast 5 kwenye lappy yangu, nikai-uninstall na kuweka Avira premium. Sasa nikienda kwenye registry nakuta values za avast na kila nikijaribu kuziondoa inanikataza as if zipo kwenye...
HP G5000 Note book,
OS Window xp
Laptop hii ilikuwa ina stuck ni kaona niifanyie system restore, nilipo bofya sysrem restore ikafuta icon zote za desck top na task bar kama wakati inataka...
What is TX RX?
tx rx is type of connection which will help to you to connect your phone with pc for software operation. its just a type of connection name.
what is cpu?
Central...
Wakuu kuna hii site www.giveawayoftheday.com
inayotoa free software moja kila siku, mi niliijua kupitia hapa jf. Nashauri hii post iwe maalum (special thread) kama ile ya arsenal/chelsea etc. Tuwe...
Nimepata sms kutoka Tigo wakinitaka ninunue kifurushi cha wiki kwa shilingi 4500, lakini sijui wanatoa bundle ya MB ngapi, pia kwa anaefahamu vizuri tarrif za internet ya tigo na MB wanazotoa...
new iPad 2 as being lunch today for 2011
Apple chairman Steve Jobs waves to his audience after he unveiled the iPad2
Apple boss Steve Jobs has returned from indefinite...
zile rumors za kuhusu ni lini iPad 2 inatoka sasa nadhani zinaenda kuwa za kweli. Wameshatoa baadhi ya picha za iPad 2 na muda si mrefu itakuwa ipo sokoni tayari...
Kwanza napenda kushukulu kwa watu kuni omba niludi kwenye jf nilikasilishwa na majungu ambayo si ya msingi.
0712484995
step za kufanya
si kila dish kama lina shika ila kama una lnb kubwa ambayo...
Kuna bosi hapa sasa kazidi, kwani ana tabia ya kufunga simu ya mezani (ttcl land line) kisa eti tusipige. Naye utumia pin kufungulia . Je kuna mtu mwenye master key ili atusaidie ?
Site Profile
Estimated Value: $102,120.06 USD
Estimated Revenue: $138.97 USD per day
$4,169.24 USD per month
$50,725.74 USD per year
Estimated Pageviews: 61,375 per day
1,841,255 per...