Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu naombeni msaada wenu kugundua nini kimekosekana kwenye hii program yangu, najaribu kuicompile kutumia gcc filename -o filename but lakini naona inakubali lakini hainipi result ninazo taka...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Msaada kwenye tuta wana JF. Natafuta fundi mzuri wa laptop ambaye anaweza kunisaidia kurekebisha laptop yangu yenye tatizo la kutokutambua (recognize) betrii wakati ikiwa kwenye umeme. Bila umeme...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba wadau tujadili issue hii Hivi katika kurusha na utumaji wa picha za video vituo kama Aljazeera ,CNN nk wanatumia Tecknolojia ipi hasa katika kutuma picha hali inayotushnda sisi wabongo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
jaman hiz teknojia ni kiboko...tujulishane meng zaidi kuhusiana na teknojia hizi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani Kama kuna mtu anauza laptop hp 530 used chini ya laki tano Naitaji Faster
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau kwa wanaofahamu utaratibu wa kupata hii account na kama mtu anaweza share account yake. na je gharama zake zikoje?.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajamvi Kwenye elimu tulizosoma za IT tulifundishwa kuwa kuna aina at least tatu za Mifumo ya computer. Transaction Process System Management Information Sysstem Desion SUppport system...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wanaotumia jf mobile naombeni mnifahamishe plz,je nanyi hampati mobile view? Hii problem imeanza around saa moja jioni. Thx wakuu.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
nimeanza kupenda programming ila nimeshindwa kujua mtiririko gan unafaa.nina ufaham mdogo wa C.nifanyeje?
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Kila nikufungua hapa nakutana na lugha nisizojua kabisa mara soft nini mara nini ,jamani mnatutesa hivi hii store ni ya masuala yenu ya IT tu itabidi nianze kujifunza ,hongerereni sana wataalamu...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Msaada natumia desktop win xp external hardisk tajwa hapo juu haisomi (unreadable) nifanyeje?
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Motorbikes could soon be sporting collision detection and other safety features more usually found on cars. Research is testing ways to put these systems on motor bikes and how best to alert...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Wakuu habari za hapa. Mimi niko hapa Moshi najaribu kuunganisha maisha na gundi ya maji. Hivi karibuni kijana wangu kanishauri nifungue internet cafe. Nimezunguka na nimepata sehemu. Leo alikuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu na wataalam wa ICT na hata wanaojua sheria sheria hasa zinahusu mambo ya ICT Nependa kujua je sheria ya Tanzania inayataka makampuni ya simu yahifadhi mawasilino yetu kwa kwa muda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
i nid advice bout win 7...my friend downloaded it and told me it worked perfect and activation crack was easy...Are these version(torrents) safe?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Google wanaplan ya kusupply internet service ambapo itakua ina speed ya 1GB per second....
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Baada ya kuelezea kidogo jinsi ya kutrace email na mambo mengine watu wanataka kujua jinsi ya kuficha ip address zao , wengine wameuliza kama forum wanazotembelea ni salama au la , wengine...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Guys,wich one is the best? Mozilla, IE,Opera,Google Chrome, and Safari?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Namaanisha Quality and Quantity amabayo inahimili mikiki yote ? Kwa sasa naona kuna aina kibao nikianza na :- Dell Toshiba HP Acer Beng na nyingine nyingi!
1 Reactions
22 Replies
13K Views
Computer yangu ina Windows 7 Pro, 32 bit. Ninapotaka kudownload file na kusave, au ku-attach file kenye intaneti, Browser inapoanza tu kufungua explorer (upate list ya folders na files kwenye PC)...
0 Reactions
3 Replies
965 Views
Back
Top Bottom