Wakuu
Mie najiuliza sana hivi taratibu za kuanzisha redio ambayo siyo ya kijamii nchini Tanzania zikoje.
Kwani najisikia kuwa na mpango huo lakini sijui A wala B.Suala la vifaa na mtaji siyo...
Jamani nawaombeni msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia jinsi ya ku connect Internet katika Nokia N8.
Nimewapigia Airtel na Zantel wote wanasema hawana settings za hiyo simu. Zantel...
Wana IT naomba mnisaidie nifanyeje email yangu imeingiliwa na watu na wanatuma email kuwa nimepata ajali wanitumie fedha kwenye e-mail zilizo kwenye inbox yangu.na siwezi ku access tena maana na...
After my window Xp machine being attached by malware and virus.I decided to install Ubuntu on my machine,I have read that malware developers specifically target Windows operating systems and...
Malicious coders and all-out cybercrooks will target newer and hipper forms of digital communication in 2011, according to a report released Wednesday by McAfee, the computer security company...
Wakubwa,kwa wale wanaotafuta material kadha wa kadha,munaweza tembeleaAfroIT E Learning Page kwa ajili ya vitabu mbalimbali ambapo una uwezo wa kusoma online.Tunajitahidi kuhakikisha tunaweka...
what was the real difference between 3G and 4G. there is a lot of jargon and, as of december 6th, the formal definition is a moving target but there are two potential answers, one focused on...
Removable flash memory sticks are pretty much one of the most handy little pieces of technology to come along in the last couple of years. They come in various shapes and their storage size can...
Wakubwa naomba ushauri,inakuwaje post zangu zote nilizoandika kuhusu tech hazionekani na ghafla naona post zote zimeibuka tena ila muandishi ni mtu mwingiine(Mzizi Mkavu)?
Ninayo ZTE Blade Android phone. Hii ni smartphone ya bei rahisi lakinni inashindana na models za bei mbaya. Kwa maelezo zaidi fika hapa:
ZTE Blade / Orange San Francisco Review: Two-Thirds Of A...
Wana jukwaa! Nilinunua laptop mwaka 2008 ikiwa inatumia windows vista basic. Miezi michache iliyopita niliipeleka kwa mtaalamu mmoja akanishauri nibadilishe windows na akaniwekea windows 7. Cha...
Kama unasoma makala hii toka online basi ni lazima utakuwa unajua kitu kinachoitwa kompyuta,hii kitu tangu ujio wake imekuwa na manufaa mengi yasiyo na kipimo,matumizi yake yameendelea...
[New] Samsung i607 i608 i617 Hard Reset & Soft Reset ...Complete Procedure !!!
To reset the handset's factory settings, via menus, follow the steps below:
WARNING: This Reset will Delete ALL...
We have many appliances in our homes we use in daily lives. Have u ever asked yourself or do u know :-
Technically how these appliances perform their function?
What...
If you have installed window XP on different partition or replaced the old window with new installation. Due to that you might have multiple entries for booting during startup representing those...
Nataka kujua kuona kama kuna watu wanakuw wana click tu link au kabla ya ku click anajiuliza link ni salama au la
Nani anaweza kunithibithisia hii link kama ni salama...
Wenye kujua link za progamme za kutengeneza magazeti,majarida ,vipeperushi anisaidie.
hizi page maker vision 6.5 na vision 7 zinaonekana kutokuwa na option muhimu kwa kazi hizo.
anayejua nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.