Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wajameni naomba anayeweza kunipatia Software ya ava finder professional anifanyie hvyo japo kunipa link nii-download! Kama kawa ntagonga 'Senki you'!
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu Mie najiuliza sana hivi taratibu za kuanzisha redio ambayo siyo ya kijamii nchini Tanzania zikoje. Kwani najisikia kuwa na mpango huo lakini sijui A wala B.Suala la vifaa na mtaji siyo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani nawaombeni msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia jinsi ya ku connect Internet katika Nokia N8. Nimewapigia Airtel na Zantel wote wanasema hawana settings za hiyo simu. Zantel...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana IT naomba mnisaidie nifanyeje email yangu imeingiliwa na watu na wanatuma email kuwa nimepata ajali wanitumie fedha kwenye e-mail zilizo kwenye inbox yangu.na siwezi ku access tena maana na...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ivi sub woofer gani ni ya ukweli inayochuja mziki au mdundo ukasikika?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
After my window Xp machine being attached by malware and virus.I decided to install Ubuntu on my machine,I have read that malware developers specifically target Windows operating systems and...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Malicious coders and all-out cybercrooks will target newer and hipper forms of digital communication in 2011, according to a report released Wednesday by McAfee, the computer security company...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina unlocked modem Huawei yenye download speed inayofika 7.2Mbps. ofkoz mitandao yetu haifikishi download sleed hiyo. Sanasana kunabaadhi ya sehemu (mijini) Vodacom / AirTel watafikisha 1.7Mbps...
0 Reactions
56 Replies
8K Views
Wakubwa,kwa wale wanaotafuta material kadha wa kadha,munaweza tembeleaAfroIT E Learning Page kwa ajili ya vitabu mbalimbali ambapo una uwezo wa kusoma online.Tunajitahidi kuhakikisha tunaweka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
what was the real difference between 3G and 4G. there is a lot of jargon and, as of december 6th, the formal definition is a moving target but there are two potential answers, one focused on...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Removable flash memory sticks are pretty much one of the most handy little pieces of technology to come along in the last couple of years. They come in various shapes and their storage size can...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakubwa naomba ushauri,inakuwaje post zangu zote nilizoandika kuhusu tech hazionekani na ghafla naona post zote zimeibuka tena ila muandishi ni mtu mwingiine(Mzizi Mkavu)?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ninayo ZTE Blade Android phone. Hii ni smartphone ya bei rahisi lakinni inashindana na models za bei mbaya. Kwa maelezo zaidi fika hapa: ZTE Blade / Orange San Francisco Review: Two-Thirds Of A...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jukwaa! Nilinunua laptop mwaka 2008 ikiwa inatumia windows vista basic. Miezi michache iliyopita niliipeleka kwa mtaalamu mmoja akanishauri nibadilishe windows na akaniwekea windows 7. Cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama unasoma makala hii toka online basi ni lazima utakuwa unajua kitu kinachoitwa kompyuta,hii kitu tangu ujio wake imekuwa na manufaa mengi yasiyo na kipimo,matumizi yake yameendelea...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
[New] Samsung i607 i608 i617 Hard Reset & Soft Reset ...Complete Procedure !!! To reset the handset's factory settings, via menus, follow the steps below: WARNING: This Reset will Delete ALL...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
We have many appliances in our homes we use in daily lives. Have u ever asked yourself or do u know :- Technically how these appliances perform their function? What...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
If you have installed window XP on different partition or replaced the old window with new installation. Due to that you might have multiple entries for booting during startup representing those...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Nataka kujua kuona kama kuna watu wanakuw wana click tu link au kabla ya ku click anajiuliza link ni salama au la Nani anaweza kunithibithisia hii link kama ni salama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wenye kujua link za progamme za kutengeneza magazeti,majarida ,vipeperushi anisaidie. hizi page maker vision 6.5 na vision 7 zinaonekana kutokuwa na option muhimu kwa kazi hizo. anayejua nzuri...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…