Drive Encryption Software: How It Could Save A UK Captain's Career Over £18.87 Mistake
The failure to use full disk encryption like AlertBoot means the end of a fast-track career...
HI ALL
I'M LOOKING FOR A COMPANY WHICH CAN PROVIDE A DATA RECOVERY SITE. I HAVE MY OFFICE WHERE I KEEP ALL THE SERVERS , NOW I WANT AN OFF SITE LOCATION WHERE I CAN KEEP THE SERVERS AND BEING...
Wateknolojia mpo!!!!! Nina modem ya Zain ambayo haikubali laini nyingine zaidi ya ZAIN, modem hii kila nikiitumia naaona ipo slow sana na hivyo inanikata stimu. Naomben mnijulishe namna ya...
Innovative web development techniques have become the most important part of internet marketing. Creative and attractive websites that attract more and more websites have been developed by...
hi guys,
Ipod yangu nikiiunga kwenye computer inashindwa kuwa detected yaaani computer hata haitikisiki.
Ipod ni apple original black 30GB video.
Nifanyeje ili iweze kukubali kuunga kwenye...
Waheshimiwa naombeni mnisaidie mtandao unaotoa huduma ya internet kwa bei ya chini kwa simu za mkononi.
Nimenunua kifurushi cha MB 50 kwa sh.2000(monthly bundle)lakini naona hakitoshi na speed ni...
Hello wana bodi.
Ni long taim since nimepost inshu hum ndani, sasa jamani nina iphone yangu nilikuwa nataka ku sync ikatokea kuwa all music imetoka kwa iphone ila ipo katika backup, sasa suala ni...
If you need any ICT Consultation, please call me 0788 444411, I will do it for free, but if you will be convinced, I will charge you for further consultations, I do consultation in the following...
Kumekuwa na mifumo mbalimbali ya Biashara kwa njia ya mtandao ambayo watu wanaweza kufanya bila kuwekeza pesa nyingi zaidi ya muda na ujuzi kidogo wa baadhi ya vitu vidogo vidogo .
Kuna Adsense...
Windows 8
A roadmap timeline slide shown by Microsoft at the 2009 Professional Developers Conference shows that a product code-named Windows 8 is scheduled to be released sometime between 2011...
Wana JF, kuuliza si ujinga ndugu zangu. Naomba mnisaidie, nini maana ya FACEBOOK na inatumikaje? Nimekuwa nikisikia terminology hii kila kukicha na kila niulizpo watu, wengi nona kwao inakuwa...
Wana Jamvi naomba mnisaidie mwenye kujua zinakopatikana GPS machine ambazo sio complicated.Nahitaji pia bei.
Nataka zinazoonyesha,latitude,longtude na elavation.
Bwana Jerry Bryant ambaye anatambulishwa kama Group Manager, Response Communications wa Trustworthy Computing Group anataarifa za kiusalama kwa watumiaji wa IE tajwa, msome hapa TechNet Blogs
Kwa...
Salaam, mwezi uliopita nilikuwa na download picha kuingia kwenye laptop yangu. Wakati ina download, nilipata meseji kwamba hard disk imejaa hivyo ni run 'disk clean up'. Nili run hiyo na nikapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.