In research echoing the Wizard of Oz, scientists have found the key to overcoming fear. The discovery means it might one day be possible to give people back their courage - just as Oz helped...
Habari za hapa ndani wakuu, naombeni msaada wenu wa kitaalam, mimi ni mwanafunzi niko hapa dar es salaam nahitaji kujua sehemu wanauza 3G modem kwa bei nzuri, kama kuna mtu anafahamu aweza kuni PM...
Ndugu zangu
Hivi ni wangapi hapa tunajuana mitaani , mashuleni na sehemu zingine za makazi sisi kama wana teknohama ni wangapi wenu hapa tunasaidiana na kushauriana masuala mbalimbali zaidi ya...
Kiswahili kwenye kompyuta!!!
Plans are already at an advanced stage for the Swahili language to be incorporated in MS Applications. Lets take a sneak peek at developments so far: Its the high...
Kama wewe ni mtembeleaji wa Tovuti kama Facebook pamoja na Hi5 utakuwa umeona baadhi ya vijimambo vinavyoendelea katika tovuti hivyo, mfano unapojiunga na tovuti hizo inakuwa na sehemu maalumu...
Jamani wadau wa JF nimepata visitor message kwa profile yangu huyo mtu anadai anaitwa Monica akaniambia amefurahi sana kuiona profile yangu na akasema tuwasiliane zaidi anataka tuwe marafiki...
Wadau,
Kama mdau wa teknolojia, nahitaji kufahamu ni taasisi /kampunigani hapa bongo inatoa elimu ya Oracle Certification(ikiwemo na kusimamia mitihani).
Nimejaribu kutembelea baadhi ya zile...
Kipindi Matumizi Salama ya Teknohama na Mitandao Jamii
Karibu Usikilize kipindi cha Ulimwengu wa Teknohama Kama kilivyorekodiwa leo kuanzia saa 3 Asubuhi Mpaka saa 4 Jijini Dar es salaam ...
Tokea juzi najaribu kufungua document zangu zilizopo kwenye Micro Softword 2003 hazifunguki, power point inafunguka kama kawaida, sasa sijui ni virus au nini naomba msaada wa kitaalamu.
Laptop yangu inatumia kaspersky ant virus na haina matatizo yoyote, tatizo nikinunua flash mpya ntaweka data zangu, baada ya muda nikitaka kuweka zingine inaniambia hamna space ya kutosha...
Hi JF TF gurus,
I am having a website redirect when I access some sites my browsers (IE 8.0, safari ect) tend to redirect me to this anoying sites called Network Solutions with the following...
Wakati ambapo Uchaguzi mkuu unakaribia Wanateknohama wanashauku ya
kujua mambo mbalimbali kwa njia ya mtandao kuanzia kupashana habari ,
majadiliano motomoto na masuala mengine mengi sana...
Habari zenu wadau??
Naomba msaada wenu tafadhali, kuna file la PDF (Portable Document File) natakiwa nijaze na kutuma mahali, instructions zinasema ''fill the file from your computer''...
Wenye interest na haya mambo ya jinsi Ubongo unavyofanya kazi, nafikiri hii ni kazi nzuri ya kuangalia/tazama (Tathmini ya uzuri ni yangu -hopefully am not deceived Lol!).
Michael Shermer talks...
The National Information Communication and Technology Broadband backbone was switched on yesterday in 16 regions after the completion of the first phase of its construction.
The move brings...
Wakubwa,narudia tena kuomba mtu mwenye kujua namna ninavyoweza kuingiza picha za video kwenye laptop ambayo haina firewire pin.
Nimeanagaika sana kwani computer yangu ni latest lakini aina...