Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Hapa TZ. Internate cafe nyingi haziruhusu kutumia. Laptops kwenye cafes zao na kama wanarusu basi bei ya muda wa kutumia huwa mara mbili zaidi kulinganisha kama ungetumia PC za cafe sijui tatizo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba msaada kama kuna mtu hapa Dar anayefahamu cafe yenye uwezo wa kushusha file haraka na kwa speed hapa Dar,cafe nyingi hapa Dar hawaruhusu kushusha faili ,zamani nilikuwa naweza shusha faili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Mwaka 2010 ndio uko mwanzoni kabisa pamoja na ni vizuri tuangalia matisho ya uhalifu unaoweza kufanyika kwa njia ya mtandao kwa mwaka huu ili wengi wetu waweze kuwa makini zaidi . Si unajua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salamu sana wana jamii wote. Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza Rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hatua ya kizalendo aliyoichukua kuunda Kamati ya kupitia mikataba ya madini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwahiyo umekuwa unahangaika kupata Linki za tovuti mbalimbali za kitanzania si ndio ? kama ni ndio jaribu kutembelea www.tzlinks.com ni moja ya tovuti yenye Linki nyingi kuliko zote mpaka sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ten Stupid Things You Can Do To Mess Up Your Computer Okay, I'm using a little reverse psychology on you... If want to keep your computer running smoothly and avoid becoming a target for cyber...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Windows Password Reset Category: Security "I changed my Windows login password yesterday, and now I can't remember it! Is there any way to reset the windows password, so I can regain access to...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimekuwa najiuliza kwa nini wanafunzi wengi wa kitanzania ni wachovu ktk masomo ya software engineering? Je ni waalimu hakuna? au inakuwaje? Hali hii inajitokeza hasa wanapokwenda nje kufanya...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Ndugu Zanguni, Heri ya mwaka mpya 2010. Kwa kifupi ndugu yenu siko vizuri sana ktk hili. Ningeomba kujuzwa hivi nitumie ujanja gani ? Nina mafaili yangu makubwa ya documentary, format ya .MKV...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
VIDEO - Laptop Mpya za HP zina Ubaguzi wa Rangi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna wakati tuliwahi kutembelea na rundo la CDs bila kusahau Floppy Discs ambazo ndani yake kuna programu mbalimbali za kutumia Kwenye komputa au ni programu zinazotumika kusaidia katika kuifanya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau kwa anayefahamu namna ya ku-sign in invisible kwenye facebook, na namna ya kuweka on webcam while on facebook anijulishe tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
My boss wants me to install some monitoring software on our office computers,i've no idea where to start looking, does anyone have any experience with a decent one?i've tried the filters built...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa anayefahamu jinsi ya kuweka avatar inayochezacheza kutoka kwenye website na kuisave kwenye desktop na iendelee kucheza hivyo hivyo anifahamishe tafadhali, kila nikijaribu inagoma. thx in advance
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani hivi serikali ikisaidiwa na Idara husika mbona haiwathamini wawekezaji wadogowadogo ambao ni wazawa??? Kuna watu kadhaa nawafahamu ambao wangependa sana kufanya ma investment Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi teknologia mbalimbali tulizonazo zinatupunguzia kazi kweli kwa ujumla wake...??? Maana nikijaribu kukumbuka idadi ya PASSWORD ninazotakiwa kuzikumbuka kwa kichwa.........we acha tuuu 1. ATM...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu heshima mbele!! Kuuliza si ujinga!! Naomba kujuzwa jinsi ya Ku quote post za watu zaidi ya mmoja pale unapotaka ku reply post!! nimeona kuna wataalamu hapa waki quote watu zaidi ya mmoja na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Preparation Guide for use before posting about your potential Malware problem Print Guide! Hi and welcome to the Bleeping Computer malware removal forum. If you are reading this...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi, I have noticed a number of JF members asking for survey participants for Telecoms related researches they are undertaking lately. Maybe someone here is in a position to assist me. I am...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Zawadi ya X Mass.....kwa wale IT.....sisi tuliosoma ungwini...achana nasi BLACKBERRY... http://rapidshare.com/files/319033758/BCP-410sg.zip...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom