Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Hapa kwetu TZ siku hizi kuna watu wengi wanaitwa Dr. somebody au Prof. somebody. Lakini ukienda kwenye strong journals duniani huwakuti kabisa majina yao katika articles. Hivi huwa wanapata hizo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hello wana JF Nina Cisco Catalyst 500 series switches kwenye LAN yangu. Kwa vile sina Internet connectivity, nimevuta cable moja kutoka kwenye switch na kujiunga na network nyingine yenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF? Kuna program moja inaitwa Latex kwa ajili ya kuandikia report kama vile dissertation/Project na article na vitabu vile vile... Hii ni program unaandika ktk txt form...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
JESHI la Polisi limeunda timu ya kuchunguza matukio ya uhalifu kwa njia ya mitandao, simu za mikononi, ATM za mabenki na huduma nyingine za mitandao cha Ant cyber crime Unity ili waweze kubaini...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu zangu leo nimeona niongelea juu ya huduma ya BIS kwa kutumia blackberry kati ya kampuni ya Zain na Vodacom,ingawa hii mada imewahi jadili hapo kitambo,kuwa ni kampuni ipi ambayo inatoa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NIMEUNGANISHWA NA DUNIA Sikuwahi kuota hata sikumoja kama kuna siku nitakuja kuungishwa na dunia kama ilivyo sasa hivi , lile neno la dunia kuwa kijiji kimoja sasa limeanza kutimia kwa kiasi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sijui ni kujiamini sana kwa kuwa na wateja wengi, sijui ni dharau, mtanisaidia, Angalia, wanafungua saa 4 asb hasa mbagala, wakati wenzao saa moja, vibanda viko vichache, barabara...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Ni kweli kwamba kila mtumaji wa computer popote alipo nyumbani , kazini na sehemu zingine mbalimbali anategemea sana antivirus kwa ajili ya ulinzi wa computer yake haswa upande wa programu na aina...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nimejaribu kufuatilia suala la credit cards za Exim na kupewa utaratibu wao kwa muhtasari. Ingawa wamejitahidi sana kutoa hiyo huduma, bado nadhani kuna vitu ambavyo wanatakiwa kutuelimisha. Kwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndugu wana JF, Naomba kuelimishwa! Tanzania, wataalamu wengi waliosomea maswala ya engineering wanapenda kujitambulisha kwa initiala za Eng. someboby (eg Eng Wande and so on). Je huu ni utaratibu...
0 Reactions
51 Replies
8K Views
Habari wakuu wangu poleni na majukumu Naomba msaada wa kuremove software kwani nimejaribu ku uninstall imenigomea sasa na mimi natumia LG laptop Nasubiri wakuu wangu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
China's Hilarious Invention - Toilet Seat! "Toilet seat" by China. Invented for those who have to spend more time in traffic jams. China Invention
0 Reactions
8 Replies
5K Views
LINKI ZA NJE Ndugu zangu kumetokea baadhi ya wanachama wenzetu kwenye majukwaa haya kutoa linki za nje kwenda kwenye baadhi ya tovuti ambazo sio salama matokeo yake ni kwa wale wasiojua...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I have a notebook acer aspire 1800. I have a problem. When i connect the a/c cord the notebook start to beeps. and flash the light. Could someone help me.?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hellow wana jamii Polen na majukumu Nina Laptop HP Pavilion dv2000 but ukienda kwenye system Infomation imeandikwa HP Pavilion dv2700 na kwenye iliyobandikwa karibu na sehemu ya mouse ni HP...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu JF Nawauiiza Swali ipi ni bora kati ya hizi Tatu WINDOWS XP WINDOWS VISTA na WINDOWS 7? Na kwanini imekuwa Bora zaidi ya nyingine? Towa ufafanuzi tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi natumia PC ambayo tunashare na mwenzangu, sasa nina login kwenye forum kama jamii, baadae inabakiza kumbukumbu kuwa nguvumali alilogin, sasa inanikera sana. naleta kwenu wanatechnolia ya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
http://www.cnn.com/2009/HEALTH/12/11/bionic.eye/index.html
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, naingia tena jamvini kwani nilipotea kwa muda kwani huyu provider wangu some times analeta kasheshe. Swali langu sijui kama kichwa cha habari hapo juu nimekiandika sawa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Zantel wameondoa huduma ya GPRS kuunganisha kwenye computer, ni wiki ya pili sasa najaribu kutumia simu yangu kuunganisha internet kwenye laptop yangu bila mafanikio yoyote. Kila nikiunganisha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…