Kama umenunua kompyuta inayotumia mfumo wa window mara zote tunaita "PC". LAKINI wakati mwingine Mac nazo zinaitwa "A PC" pia. Je Kuna Siri Gani apa!! kwanini kompyuta zinaitwa PC hata hivyo...
Kila siku tunasikia wimbo kwamba TEHAMA tuko nyuma, tunahitaji wataalamu. Tunaona serikali ikihama kutoka kwenye paper files kuelekea kwenye mfumo wa mtandao; kuanzia malipo, maombi ya ajira...
Habari wakuu, leo kwenye pita pita zangu mtandaoni; nimeona kwamba Tanzania ipo miongoni mwa nchi chache Afrika ambazo Amazon inaweza kutuma (ship) mizigo. Hivyo, nilitaka kudadisi kama kuna...
Natumia Samsung Note 4 Verizon i.e N910V, firmware yake ni N910VVRU2BOG5.
Nataka kubadili N910V kwenda N910F, nitajieni international firmware (N910F) itakayoendana na firrmware ya Verizon ya...
Apple imetoa tangazo kwa madevelopers kuwa itakuwa ikiondoa app ambazo zitakuwa zinamaliza miaka 3 pasipo kuwa updated. Hii ni kwa macOs na iOS.
Pia hata app ambazo hazitofikisha kiwango cha...
Wakuu, habari zenu humu ndan. Katika simu yangu, kuna baadh ya Contacts ninapoChatt sion alama za vema mbili za blue ishara kwamba zimesomwa(Read), halafu najibiwa vzur tu ishara kwamba...
Wajuzi wa Mambo nataka kuchukua simu ya Huawei Nova 2 plus au Huawei Nova 3i au oppo a 15 vipi kwa ambao wamewai kutumia simu izi ipi inafaa kuanzia ubora na kila kitu kwenye matumizi na chaguo...
Nataka kudevelop mobile app ya ku Livestream mpira wa miguu kwa ligi za ulaya. Naomba yoyote mwenye ufahamu wa API's zinazotoa hii huduma anijuze .
Au kama kuna alternative nyingine ningependa...
Wakuu kwema
Ni kitambo sasa sijadownload miziki haswa ya nje ambayo nilikua naipakua bila shida mp3direc mp3juice moja kwa moja bila longo longo ya matangazo
Majuzi kati nikataka niongeze library...
Wakuu,
Nimetengeneza hosts file kutoka sources mbalimbali na nitakuwa nai-update mara kwa mara.
Pakueni hiyo hosts file kupitia:
link: 1Hosts — World's most advanced general-purpose DNS...
Habari za jioni wakali wa tech,
Week iliyopita wife ame flash techno camon 11 baada ya kusahau password.
Nawezaje kuzipata data zote, maana alikua anazitunza kwenye phone memory moja kwa moja...
Wakuu Happy Good Friday. Nimenunua smart TV na Kama mjuavyo ili tv iwe na clear pictures ni vizuri kuunga HD wire. Lakini Cha ajabu hiyo tv yangu haikubali kupokea huo waya wa HD.
Tatizo laweza...
Wakuu,
Naomba msaada kufanya verification of address kwenye Skrill account.
Mimi ni mtumiaji wa Skrill, na awali nilikua nafanya miamala vizuri tu bila shida yoyote.
Imefikia stage ya kufanya...
Serikali ya Kenya imepitisha mtaala mpya ambao wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari watafundishwa coding.
Halafu baadae turudi kukataa ukweli kwamba hawa wakenya likija suala la ubunifu...
Habarini wana jukwaa!
Bila kupoteza muda,nilitembelea maeneo fulani hapa mjini kwa rafiki yangu nikaona anatumia gesi ya kupikia ambayo ameizalisha kutoka shimo la choo,nilichokiona pale ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.