Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Najua kuna watu wengi ni wapenzi wa muvi za hollywood na bollywood humu jamvin, pia naelewa kuwa kuna watu wanapenda subtittles ili kuelewa na kufurahia movie...
9 Reactions
75 Replies
16K Views
Habari wanajamvi, msaada wa sorting function wa kuchakata matokeo…Sorting function ambayo itachagua jinsia na rank yake katika matokeo..Msaada tafadhali….Iweze kufanya kazi kwenye Ms Excel 2007 au...
0 Reactions
1 Replies
551 Views
Naomba unifahamishe, hivi kati ya simu ya brand ya Xiaomi na Google Pixel Wewe unachagua ya brand ipi?
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Hapa bongo kumekua na wimbi la refurbished phones hasa upande wa samsung ndio kinara. Refurbished au recondishioned phones ni simu ambazo either zilikua na matatizo ya hardware au softwares baada...
17 Reactions
83 Replies
16K Views
Kama kichwa kinavyosomeka Naomba msaada hivi baada ya ku chip PS3 yako unauwezo wa kuingiza game kwa kutumia USB Flash au External Hard Disk?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu natumaini mu wazima wa afya, karibu hapa tujadiliane kidogo kuhusiana na maswala ya Android application development. Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakihitaji kuingia kuna Android Development...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Naitaji page iweze kuaccept mastercard, visa and the like. Kama wewe ni mtaalam/kampuni na unajua unachokifanya nicheki pm tubadilishane mawasiliano.
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Wadau habarini,napenda kufahamu na kuyajua maduka hapa Dar es salaam yanayojihusisha na uuzaji wa vifaa vya mtandao kwa bei ya jumla au reja reja Vifaa hivyo ni kama vile 1. Cisco router & switch...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Yaani unaambiwa wanao apply kwa kutuma proposal ni wengi balaa, project moja unakuta proposal mia mbili nakuendelea kadri muda unavyozidi kwenda. So swala muda ndo muhimu kuwa active muda wote na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa wale ambao tulikuwa tunapakua software mbalimbali tulikuwa tunatumia sana hii kitu nakumbuka muda fulani ilifungiwa, naomba msaada wenu wakuu baada ya kufungiwa tunatumia nini?
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Heshima kwenu wana jf, Hivi system kama ilivyo ubber ama taxfy kuitengeneza inagharibu bei gani? Natamani specifically iwe kwa bodaboda tu kwa ajili ya mikoani na sehemu za vijijini hili ndo...
0 Reactions
1 Replies
662 Views
Wakuu habari, nataka kujua kama kuna mtaalamu wa kunifundisha namna ya kutengeneza forex robot (automated trading system) kwa kutumia MQL script language hata kwa malipo Ni programu ambayo...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, nipo Dodoma, nina dish la continental, decoder ya continental. Ninatumia dish mbili za continental. 1. satelite dish mbili 2. DiSEqC Switch 3. continental decoder...
0 Reactions
9 Replies
12K Views
Habari zenu wanajukwaa, naomba kujuzwa kama ninaweza kutumia dish la azam nikiwa na king'amuzi cha zuku.
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Salam wakuu, Kuna jamaa yangu amenijuza kwamba pale D.I.T wanafunga mitungi ya gesi kwenye magari ambayo inakua ni alternative power (fuel) ya gari. Kwamba unaweza ukafunga mitungi ukakimbia hata...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
natumia macbook pro intel (R) core(TM) i5 2435 CPU @ 2.40 GHz. RAM 4GB nime install windows 10. tatizo linakuja hapa baadhi ya software za 3D zina run slow sometime nashindwa kuelewa tatizo ni...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna mtu amewahi kutumia Mypaseo kufanya keyword searching? Kama yupo anaweza kunipa jinsi gani naweza kupata ASV ya keywords?
0 Reactions
2 Replies
920 Views
Nipo chuo fran hivi..nimetenga bajeti tsh laki tano badara ya kununua laptop natak ninunue simu ambayo nitweza itumia kwa matmizi mbalimbali mf kusoma pdf..naomba kufahamu simu gani naweza nunua...
8 Reactions
29 Replies
4K Views
Mda si mrefu uliopita Google walitangaza kufungua ofisi yao ya kwanza ya product development Africa jijini Nairobi, kazi ndo hizo engineers, UX experts, researchers mnaweza mkakamata! Google to...
2 Reactions
1 Replies
684 Views
Back
Top Bottom