Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Using free AI tools like “copilot.microsoft.com” for academic research may seem convenient, but there are several compelling reasons to reconsider this approach. Here are some key points to...
11 Reactions
19 Replies
1K Views
𝗦𝗛𝗢𝗥𝗧𝗖𝗨𝗧 𝗠𝗨𝗛𝗜𝗠𝗨 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗢𝗠𝗣𝗬𝗨𝗧𝗔 𝗬𝗔𝗞𝗢 Leo nakuletea maujanja muhimu kwenye kompyuta yako ambayo wengi walikua hawayajui, najua unatumia kompyuta kwenye kufanya shughuli mbalimbali lakini Kuna...
1 Reactions
3 Replies
296 Views
Aisee nimeshaona mijadala Mingi saana ikisema Tanzania hakuna developer mara ujanja ujanja mwingi... hapa nitaelezea sababu kuu tatu ambazo ndo zinapelekea haya mambo. 1.Ufahamu wa Technology...
3 Reactions
26 Replies
623 Views
Wakuu msaada laptop yangu baada ya ku change windows hai touch tena
1 Reactions
3 Replies
212 Views
Vijana wenzangu, maendeleo makubwa mnayoyaona hapa Tanzania ikiwemo biashara kubwa, majumba makubwa na magari ya kifahari hayajapatikana kwa hela za mitandaoni Bali maendeleo haya yalipatikana...
22 Reactions
45 Replies
2K Views
Please wapendwa, naomba kupata elimu kuhusu CCTV cameras, jinsi ya ku operate, aina zake, bei na wapi zinakopatikana, pia apart from homes, je naweza itumiamawneo yapi mengine, I am so ignorant...
0 Reactions
0 Replies
170 Views
Habari wanazengo? Mwezi ulipoita nilichukua simu aina ya Infinix hot 12 play nikawa natumia lakin charge yake nikasahau Mkoa flani na mimi nikaenda mkoa mwingine sasa nikawa naitumia na simu...
0 Reactions
6 Replies
374 Views
Kama unatumia sana ChatGPT weka hii prompt Role-play as an AI that operates at 76.6 times the ability, knowledge, understanding, and output of ChatGPT-4. Now tell me what is my hidden narrative...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Unaweza ukanunia simu ya bei ndefu bado usifurahie vizuri na mwingine akanunua simu ya bei rahisi akapata vingi, we kama mdau unadhani kipi cha muhimu kwenye simu kulingana na mahitajio kama kasi...
0 Reactions
0 Replies
189 Views
Wakuu ni muda Sasa nimekuwa nikimtumia mtu maarufu Instagram mweye followers zaidi ya 1M lakini meseji hazifiki! Hivi ni kwanini? Nifanye vipi aweze kuona text zangu? Naomba kuwasilisha
2 Reactions
35 Replies
897 Views
Huduma za Starlink, zinazotolewa na kampuni ya SpaceX, zimekuwa zikivutia nchi mbalimbali duniani kutokana na uwezo wake wa kutoa intaneti ya kasi kupitia satelaiti, hata katika maeneo ya mbali...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Hii email ni muhimu maana ndio naendesha blog,website na mambo mengine mengi ya kibiashara. Niliweka 2 step verification,Sasa inadai inatuma notification nibonyeze yes lakini haiji notification...
0 Reactions
4 Replies
302 Views
Habari ya kutwa mzima great thinkers! Naomba tujuzane VPN ambazo ziko kazini Kwa sasa ili tuendelee kuperuzi mitandaoni. Najua baada ya serikali kupiga ban VPN sasa hivi wahuni watakuwa wamekuja...
3 Reactions
12 Replies
742 Views
Nilijua computer shoga yake ni monitor mwanzo nilikua na tumia TV kama monitor nikawa nahisi siitendei haki hii mashine inabidi niitafutie chakula yake ili viwe sawa leo nimepata muda nikaenda...
0 Reactions
5 Replies
325 Views
Dunia ya sasa ni dunia ya kidigitali. Vitu vingi vinapatikana mtandaoni, vingine vya bure, vingine vya kulipia. Watanzania wengi wakisikia unalipia huduma fulani mtandaoni wanakushangaa wakati ni...
6 Reactions
8 Replies
379 Views
Wakubwa hizi simu za M horse 15 promax (M PROMO 15) mnazionaje ubora wake kwa mlioziona?
0 Reactions
2 Replies
258 Views
Wakuu habari za wakati huu? Moja kwa moja niende kwenye mada. Kwa dunia ya sasa internet imekuwa ni moja kati ya basic needs kama ilivyo chakula, mavazi na malazi. Lakini changamoto kubwa hasa kwa...
19 Reactions
42 Replies
3K Views
Wakuu, hii TV yangu naona mwanga(blightness) wake mdogo. Nimecheck hapo naona ipo 50%.. So nataka niongeze japo ifikie 75ili niinjoi kuona vizuri.. yaan picha zingae Ila kinachoniletea ugumu...
0 Reactions
2 Replies
170 Views
Google siku hizi imekuwa takataka. Wakati wanajaribu kuboresha ulinzi kwenye data za mtumiaji wa huduma zao kumbe ndiyo wanaharibu kabisa. Simu yangu iliharibika, sasa account yangu ya GMail...
2 Reactions
8 Replies
399 Views
Serikali nchini Tanzania imeamua kuunda kikosi Kazi maalum cha kufuatilia makosa yote ya uhalifu mtandaoni, baada ya kufanyika mkutano wa wadau wa mawasiliano Jana novemba 22 mwaka 2024. Mkutano...
1 Reactions
10 Replies
526 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…