Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa...
16 Reactions
206 Replies
16K Views
Geofrey Hinton anajulikana kama "GODFATHER OF AI" anatakumbusha swali la msingi, je tuko tayari kisawa sawa kwa ajili ya AI? Sijui kama Aliacha kazi kama protest au hofu ya ukuu wa AI ambao...
10 Reactions
16 Replies
575 Views
Habari Members. Inawezekana Kutengeza Posters Logo Ku edit video na photos Kwa Kutumia A.I Akili Mnemba??
1 Reactions
4 Replies
222 Views
Habari wana Ndugu, Nilishawahi Kupotea Dar Nina Pesa Mkononi,Naona Daladala Zinapita Lakini Sijui Nipande Ipi Ili Nifike Ninapokusudia Ghafla Paap! Naona Mdada Kasimama Mimi:Mambo Samahani Dada...
4 Reactions
38 Replies
701 Views
Naomba jibu la hilo swali langu Maana Mtu anaweza akakopa simu akaitumia ikawa used halafu akaiuza kwa mtu mwingine. Bila kumuambia simu ina deni
1 Reactions
2 Replies
128 Views
Good Morning my dear brothers and sisters out there. (1) Kwanini mitandao ya simu (mfano Tigo Yas) wanatumia codes mbili yaani 0717****** pamoja na 0654******?? Kwanini ilishindikana kubaki na...
15 Reactions
91 Replies
3K Views
Wadau, Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana... Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote.. Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua...
90 Reactions
976 Replies
141K Views
Mwaka 2060 watu watakua na uwezo wa kusafiri toka sehemu moja kwenda nyingine kwa kufikiria tu!! Je utajisikiaje ikifika wakati unatoka Dar Kwenda Dodoma kwa kufumba na kufumbua macho tu kama...
1 Reactions
7 Replies
190 Views
Nilikuwa sijawahi kufanya manunuzi ya kitu mtandaoni, kwa mara ya kwanza tarehe 5/08/2024 nilifanya manunuzi ya miwani ya macho katika mtandao wa eBay, hii ni baada ya miwani yangu kupasuka...
32 Reactions
127 Replies
7K Views
Wakuu ukisikiliza stori za dark web mtandano na mitaani unaweza pagawa. Lakin huko dark web hamna lolote
24 Reactions
364 Replies
20K Views
Mfano domain iwe xyz.tz na xyz.co.tz .tz gharama ni 100,000 kwa mwaka na .co.tz ni 25,000! Je kuna faida gani ya kutumia .tz domain badala ya .co.tz? Nataka sajili domain naomba mawazo..
5 Reactions
14 Replies
402 Views
Mafundi mnisaidie flash file la SQ1000, maana yake ya Google ukigonga simu haiwaki. Ambaye alisave scallter file kwenye miralce crack anitumie pls Inakuwa na mb 4
0 Reactions
0 Replies
58 Views
Hawa ni Isaac Newton; the Father of Phsics na Nicolas Tesla ISAAC NEWTON https://en.wikipedia.org/wiki/Isaac_Newton NICOLAS TESLA https://en.wikipedia.org/wiki/Nikola_Tesla
3 Reactions
62 Replies
1K Views
Wataalamu wa mambo naomba msaada wenu katika uamuzi huu. Nina bajeti ya milioni 1.5 kwa ajili ya kununua TV, na leo nimezunguka madukani kutafuta chaguo bora. Katika maduka ya bidhaa mpya...
6 Reactions
43 Replies
1K Views
Miaka ya 2009 bitcoin zilikuwa zinapatikana bure au hazina thamani yoyote. Leo bitcoin moja ni zaidi ya milion 200 , kuna hii currency ambayo bado haijazinduliwa je kuna uwezekano ikaja kutisha...
5 Reactions
36 Replies
876 Views
Infinix Imetisha imeleta simu unaweza kuichaji kupitia Mwanga wa Jua 💭 Ebu fikiria unatembea kwa miguu jua Kali na simu yako inakaribia kuzima, au huko kwenye gari mwanga wa Jua unakupiga tu...
9 Reactions
16 Replies
523 Views
Habari waungwana Naomba kujua watoa huduma ya Fiber Dar es salaam, kama utakuwa na mawasiliano yao itakuwa poa ukiweka ikibidi na bei za huduma zao pia. Naomba kuwasilisha.
3 Reactions
15 Replies
252 Views
Habari wakuu. Ningependa kushare nanyi ujuzi wangu mdogo katika kutengeneza beat ya trap. Kwa watakaohitaji FLP yake niunge mkono kwa kusubscribe na niandikie tu katika email hii nami...
3 Reactions
38 Replies
545 Views
Uchambuzi wa kina kuhusu utofauti wa IT, Computer science, Computer Engineering, Software engineering na Cyber security. Post hii nimewandalia hususan wanafunzi waliomaliza sekondari wakitarajia...
42 Reactions
128 Replies
27K Views
Hello Ni wakati sasa tunajifunza jinsi ya kutafuta loopholes kwenye ISP yeyote unayehitaji, katika makala hii tuenda kujifunza jinsi Gani tunaweza tumia udhaifu wa ISP na kupata free internet...
14 Reactions
66 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…