Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habari wana forum,kuna watu wengine ni wasumbufu sana kwenye simu anaejua namna ya kublock ili asinipate akinipigia wala kutuma text. natumia sim aina ya samsung s4
0 Reactions
38 Replies
12K Views
Nimekuwa nikijaribu kudownload azam max kwenye android tv kupitia goggle playstore lakini imeshindikana kwa kuwa wanasema hai suppprt kwenye Tv. Je hakuna namna naweza kudownload azam max kwenye...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Nimeambatanisha d details zote pichani.
0 Reactions
1 Replies
107 Views
Tofauti Kati ya .tz na .co.tz Domain: Ulinganisho na Uchambuzi Tanzania ina mfumo wake wa domain inayosimamiwa na Tanzania Network Information Centre (tzNIC). Kupitia mfumo huu, biashara na...
2 Reactions
0 Replies
154 Views
Kwa sasa, watengeneza maudhui wa Tanzania wamekuwa wakikabiliana na changamoto kadhaa zinazotokana na kutumia majukwaa ya kimataifa kama YouTube. Mojawapo ya changamoto hizi ni sheria kali...
4 Reactions
30 Replies
466 Views
Wachina wanatupeleka kasi kivitendo sana. Mfumo wa alipay umesaidia sana kulipa wachina kwa haraka bila kutumia njia za kwenda benk kutrans pesa kwa njia nyengine. Usalama ni mkubwa kwenye...
5 Reactions
30 Replies
484 Views
Habari wadau! Leo tunazungumzia mjadala usioisha – iPhone vs Samsung! ⚔️ Unapochagua simu, unazingatia nini zaidi? Ubora wa Camera, muundo, kasi, betri, au Operating system? iPhone: iPhone...
2 Reactions
17 Replies
413 Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Naomba kusaidiwa kutoa matangazo kwenye hii simu app zina matangazo sana simu ni Samsung galaxy a05
2 Reactions
1 Replies
125 Views
Good day waheshimiwa! Mimi ni designer mzuri sana, naweza chora idea yako vizuri kabisa kwa maelezo machache tu kutoka kwako. Ila leo niko hapa kwa huduma ya UI design kwa wale watu wenye mawazo...
3 Reactions
1 Replies
112 Views
Keyloggers are applications or devices that monitor the physical keystrokes of a computer user. They then either aggregate the information locally for later retrieval or send it off to a spyware...
1 Reactions
31 Replies
7K Views
Nimeamua kuandika makala hii bbaada ya kuona watu wengi Wanaibiwa , Kupigwa bei kali na kuuziwa simu feki au Bandia . Mbaka wengine wanaogopa kabisa kununua simu used kutoka nje… Sisi kama SIMU...
1 Reactions
4 Replies
274 Views
Habar za sasa hivi natamani niataka ninunue simu kwa bajeti ya 600k - 650k ninunue simu gani Naomba ushauri wenu na sehemu nzuri wanapouza kwa Dsm
8 Reactions
87 Replies
4K Views
Habari, Nahitaji ushauri wa simu ya bajeti ya laki 4. Nahitaji kununua simu mbili zawadi kwa watu wawili muhimu, bajeti kila moja isizidi laki nne. Thanks in advance
13 Reactions
190 Replies
6K Views
Nimedondosha simu kioo kimepasuka, nimehamisha mafaili fasta kabla wino haujajaa Bei ya kioo ni shilingi laki 4 Tukio kama hili ni mara ya pili, mara ya kwanza niliweka simu kabatini mwezi mzima...
4 Reactions
22 Replies
676 Views
Programming ni nini? Programming ni kitendo cha kuandika maelezo au kuunda maelekezo au kuunda maelekezo kwa kutumia lugha flani ya kompyuta kwa ajili ya kufanikisha malengo flani Mafanikio ya...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Kwema? Nahitaji just a simple website ambayo haina makorokoro mengi,iwe na mwonekano mzuri kwa ajili ya wedding photographer. Niwe na upload picha na sehemu ya wateja wangu kuweka reviews...
10 Reactions
158 Replies
7K Views
Habari zenu wana jf, nimepata wazo la kuanzisha blog, nahitaji kufahamu faida na hasara kuhusu blog, kwa wale wanaojihusisha na hii kitu maana bado nahitaji kufahamu zaidi kuhusu blog. Karibu.
1 Reactions
9 Replies
163 Views
Epuka windows iliyo chakachuliwa kwenye computer yako maana inaweza kuharibu data zako namaanisha zile windows cracked na je umeshindwa jinsi ya kupata software uliza pia ntakujibu na kukuelekeza...
7 Reactions
119 Replies
5K Views
Mtandao wa vodacom 4G unapotumia intaneti inasababisha simu kupata joto kali sana lisilokuwa la kawaida Hii hali nimegundua muda nikajua tatizo ni simu yangu kumbe sio Tatizo ni mtandao wa 4G wa...
1 Reactions
3 Replies
138 Views
Back
Top Bottom