Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Kama mjuavyo hosting ya blog ni gharama hasa word press . Sasa watalamu nitajieni Hosting server za bei chee kuliko zote
2 Reactions
10 Replies
185 Views
Kuna jamaa akaunti yake ya Facebook imedukuliwa na mdukuzi amebadilisha mifumo mmiliki wa akaunti akiingia inakataa inamdai password.
0 Reactions
6 Replies
189 Views
Wakuu, Naomba msaada, kwa nini Telegram haifanyi kazi kwangu? Wenye uelewa tafadhali nisaidieni.
3 Reactions
24 Replies
988 Views
Habarini. Natumia iphone 7 plus nikifungua whatsapp,Facebook,instagram,tiktok. Mpaka niwe na Data’ wakati iphone zingine hata kama hauna data zinafungua whatsapp,facebook,IG.
3 Reactions
19 Replies
330 Views
Mdau umewahi kusikia kuhusu Tv guard ama Fridge Guard? "Bidhaa za Ulinzi wa TV na Jokofu: Kuweka Vifaa Vyako Salama na Imara! Je! Umewahi kuwaza jinsi ghafla umeme unavyozimika au kuwa na spikes...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Crazy how times have changed, Back in the day, you needed all this just to record, listen to music, and communicate. Now, it's all in your smartphone! 📱 Do you think technology has made life...
11 Reactions
22 Replies
531 Views
𝗢𝗻𝗲𝗣𝗹𝘂𝘀 𝟭𝟯 𝗸𝗶𝗯𝗼𝗸𝗼 𝘆𝗮 𝗶𝗽𝗵𝗼𝗻𝗲 𝗻𝗮 𝗦𝗮𝗺𝘀𝘂𝗻𝗴 😮 Linapokuja issue ya simu Bora za flagship basi wengi wetu huwa kwenye akili zetu huwa tunataja Samsung, iphone na Google vipi kuhusu Oneplus wengi...
5 Reactions
14 Replies
961 Views
Ni kwa madhumuni ya kiusalama, Nina mtoto nataka kumnunulia simu 😁 Nahitaji simu nayoweza kuchunguza location, kuchunguza mesej, call logs, n.k.
2 Reactions
20 Replies
542 Views
Habari ya mchana! Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka...
5 Reactions
41 Replies
657 Views
Naombeni ushuhuda kwa wafanyakazi wa ADSENSE waliotumia hizi platform mbili WORDPRESS & BLOGGER ipi ukitumia Ina support kupata mpunga mwingi kwenye kudisplay matangazo ya adsense tu. Habari za...
3 Reactions
59 Replies
3K Views
Wakuu habari za boxing day. Mojawapo ya mipango yangu ya 2024 ni kubadilisha na kupendezesha kisebule changu na vifaa vya kisasa vya kielektroniki. Sasa nilikua naomba ushauri ama review ya...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa Nahitaji kununua laptop kwaajili ya mambo yafuatayo Kufanya basic coding kwa kutumia HTML,PHP,Javascript,C# Kutumia application za Adobe kama Lightroom,InDesign, na Photoshop...
1 Reactions
20 Replies
445 Views
Blog yangu ina miaka miwili lakini hamna lolote; Hamna hela Hamna viewer Hamna comment Hamna faida yeyote Wakuu niliingia kwa kukurupuka kwa kuwasikiliza Motivation speaker. Naambulia kulipia...
20 Reactions
107 Replies
4K Views
Blogging sio kazi yangu, naweza kusema ni kama aina ya mti nilioupanda mimi navuna tu, nina shughuli zingine Watu wengi wanapofungua blog wazo linalowajia, ngoja nifanye kama blogger flani...
10 Reactions
16 Replies
435 Views
Wakuu msaada tafadhali, nimetupia kizungu kidogo hapo ila kusudi langu ni kuactivate incoming call barring kwenye simu yangu, password zake ndio zipi? Natanguliza shukrani.
3 Reactions
18 Replies
7K Views
Kama Title ya thread inavyosema. Hii ni simple tutorial ya kuonesha jinsi gani utaweza kutumia modes mbali mbali katika game yako ya ETS 2. Sometimes inafika stage kwenye hili game unakua kama...
30 Reactions
5K Replies
343K Views
Wakuu napataje Tshs 100k kwa mwezi. Kupitia skills hizi 2d drafting & CAD kwa kuchora michoro ya majengo, mitambo na frontend web development (html, css, JavaScript) kwa kutengeza tovuti za...
2 Reactions
16 Replies
266 Views
Wakuu nahitaji msaada, nina simu yangu Aina ya Sony so41b imekuwa haipandi mtandao wa intranet toka juzi, Chanzo cha tatizo kuna dogo nilipa alikuwa nataka kufanya mawasiliano na mtu, kumbe...
2 Reactions
8 Replies
188 Views
White hat hackers mpo wapi? Cyber security experts let us meet here and exchange different ideas.
11 Reactions
235 Replies
3K Views
Salaam Wakuu. Katika Hii dunia kila mtu anajambo/Mambo/kazi anayofurahia kufanya.Binafdi ninamambo kadhaa ila hiki nilichokifanya nimejikuta mimi mwenyewe najipiga kifua nasema Hapa nimefanya...
19 Reactions
40 Replies
1K Views
Back
Top Bottom