Jamani kuna simu ya TECNO CX Ambayo fundi alichange touch screen and system charge, sasa baada tu ya zoezi hilo naona Network yake iko chini sana (Bar Moja), had sometimes nikiweka 3G only then...
Salama wakuu kuna laptop hapa aina ya HP Compaq nw 8240 inatatizo ukiwasha inaleta msg kuwa SMART CARD NOT PRESENT jamaa anasema mwanzo haikuwa hivi ilizima tu haikuwaka akaipeleka kwa fundi nea...
Wakuu samahani, ninafanya project ambayo inahusisha kutumia PH sensor kwa ajili ya kupima PH value katika maji, ila nimepata changamoto kupata hii sensor hapa kwetu Tanzania maana nina hitaji kwa...
Habari zenu wana JF, naombeni msaada mwenye kujua like button code anisaidie, Google nimejaribu kutafuta lakini naona kama sipati results hivi.
msaada please!
Mtandao Wa Simu Wa Tigo Una Week Sasa Hivi Ukiandika Ujumbe Mfupi ,Ukimtumia Mtu Unaandikiwa Unsuccessful
Niliwapigia Huduma Kwa Mteja Wanasema Ni Tatizo Ambalo Mitambo Yao Ina Hitilafu...
Habari wana jf
wakuu kuna pc jamaa kaniletea hapa ananiunizia laki 4 pc yenyewe ni
accer E1-510
Processor Intel(R)Pentium (R)CPU N3520@ 2.16GHZ(4cpu) 2.2GHz
Ram 4GB
processor yake ni Quad Core...
Hello!,bandugu....nimepotelewa na smu yangu samsung s6,Naomba mwenye kujua maujanja ya kuweza kuitrack na kuweza kumpata mwizi ,Natangaza donge nono kwa atakaye weza kumpata mwizi pamoja na smu yangu
Habari za muda huu wapendwa. Poleni na miangaiko ya shughuri mbalimbali na moja kwa moja niende kwenye mada
Naitaji mtu mwenye ujuzi mkubwa wa mambo ya usimikaji au uwekaji wa security kwenye...
Huawei ndani ya siku 85 imeuza simu million 10 aina ya P 30 series ukilinganisha na mauzo ya P 20 mara baada ya kuzinduliwa.Ikumbukwe pia Huawei imezindua simu zake aina ya Nova 5 na 5i ambazo...
CHINA: Mtandao wa WhatsApp umeingia kifungoni nchini China ukiifuatia na Instagram, Twitter, Facebook, Gmail, Snapchat na Pinterest.
WhatsApp imeanza kufungiwa taratibu katika kipindi cha wiki...
Ripoti ya robo ya kwanza ya mwaka 2019 ya mauzo ya simu duniani inaonesha kushuka kwa mauzo ya jumla kwa asilimia 6.6 kutoka uniti 332.7 milioni kwa robo ya kwanza ya mwaka 2018 hadi uniti 310.8...
Oy niaje Wana. JF
Nimeona post nyingi kuusu. AdSense kua banned kwa upeo wangu mdogo 😁😁
Na vitu viwili vitatu. Nilivo Google nimegundua. Kwamba ukiachana na organic traffic. Kua nzur na...
[http://img2]
Kampuni ya Apple imepoteza Tsh 21 Trilioni ($9bn) katika soko la hisa, saa moja baada ya Jony Ive aliyehusika katika ubunifu wa takribani bidhaa zote za Apple, kutangaza kuondoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.