JINSI YA KUBADILISHA LOGO YA WINDOWS 7 na KUWEKA PICHA YAKO pindi tu PALE PC YAKO INAPOANZA KUWAKA au KUZIMA.
1 - Bonyeza WINDOWS KEY + R kufungua CHECK BOX.
2 - Katika hiyo CHECK BOX andika...
Habari za humu wakuu!
Naomba kufunzwa namna haya mafile yanavyo funguliwa mpaka kuwa website kabisa, maana nime furukuta nimeshindwa, naomba step by step nielekezwe aise.
File lenyewe kama hili...
Wafuatao wanatafutwa,wakwanza alijulikana kama Robot na mwingine Kwa jina la Agy wakiwa wamefanya kazi mwaka Jana pale Tuzungumze forums........Popote mtakapoona ujumbe huu mnahitajika Kwa haraka...
JINSI YA KUUNDA TRANSFORMER
Uundaji wa transformer si kitu rahisi kutokana na vigezo vinavyo takiwa kufuatwa. Ingawa kwa kufuata utaratibu unao faa utafanya kazi hii iwe nyepesi.
Jifunze...
Habari za muda huu wapendwa ,
Binafsi nashindwa kuelewa nini tatizo manake natumia receiver ya eurostar nimejitahidi kupandisha signal lakini chaneli za mbc zote haziingii ,JE NINI TATIZO?
Poleni wakuu naomba mwenye kujua app nzuri ya kuskan mfano unapiga picha cheti na inaskan yale maandishi kwenye Sim na unaweza tuma kwa njia ya email asanteni
habari wana jf baada ya kuroot simu aina ya tecno m3 na kufanikiwa nilifuta file la com.mediatek kwa baati mbaya Ilikua ukiwasha data kuna apps znajiinstall zenyew na ukizifuta znarud tena afu...
Rejea kichwa tajwa hapo juu,natafuta mtu anaeuza laptop yoyote ambayo ni convertible au 2 in 1,kwa maana inaweza kutumika katika mode zote either tablet mode au pc mode.
Nawasilisha
Nina CCTV cameras 11 ,nimeunganisha kwenye DVR ya chaneli 16.Tatizo camera sizioni zote kwenye screen,Kuna muda mwingine zinaonekana 7 Hadi 10.Je tatizo ni Nini wakuu?
Habari wakuu
Me ni mmoja wa watumiaji wa mtandao wa halotel Tanzania
Lakini katika uchunguzi wangu nimegundua nikiwa natumia data simu inachemka sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo nk
Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.