Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naombeni msaada wana JF coz file zangu pamoja na documents zote kwenye loptop yangu zimekua converted to VLC na hata ukiforce kwenda word or PDF hazifunguki..please Naombeni msaada.
0 Reactions
27 Replies
3K Views
When you stay in a hotel, how do you know there is no room secret pinhole camera? When you travel to an unfamiliar destination or take a business trip, you stay at a hotel, but you do not know...
22 Reactions
29 Replies
4K Views
Wadau namiliki Samsung mini table 3 mwaka wa tatu sasa. Juzi baada ya kuchomeka chaji ikajizima ila iliendelea kuchaji. Toka siku hiyo imebadili namna ya kuchaji nikitaka kuchaji lazima ijizime...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa anayefahamu simu yangu aina ya Alcatel One Touch ina tatizo moja, ukiweka data on inafanya kazi ila ukiset 3G, network inakata kabisa.. naombeni msaada kwa anayefahamu namna ya...
0 Reactions
1 Replies
645 Views
Guys nilifanya factory reset ya cm yang camon cx lakini baada ya apo instagram, YouTube na watsap zmeacha kutoa saut japokuwa ukiweka earphone saut inasikika na calls za kawaida pia saut inasikia...
0 Reactions
2 Replies
925 Views
Msaada wenu jamani, nina laptop yangu inagoma window ikifika nusu karibu na mwisho, nimepiga window 7 na window 8 zote zikifika nusu zinakataa, laptop yangu ni lenovo, ram Ģb 2, na HDD ni GB 500...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari Wana Jukwaa!? Natafuta display ya laptop aina ya Dell latitude D620.
0 Reactions
7 Replies
909 Views
Jana nimenunua line ya TTCL, Hata hivyo kila nikiweka kwenye simu inaondoa function ya hotspot halafu naikuta kwenye mobile data ila haifanyi kazi naambiwa “To enable personal hotspot on this...
0 Reactions
0 Replies
650 Views
habari zenu wakuu; nilikuwa najisajili na huduma ya kupurchase online kwenye crdbbank.com baada ya nunitumia taarifa kuwa card yangu imewezeshwa kwenye kujisajili nikakuta sehemu ya kujaza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu jana nilinunua king'amuzi cha TING, nimejaribu kuki-set lakini napata vizuri station moja tu: ATN, nyingine mbili tatu za nje ziko kwenye mnato tu. Kama kuna mwana JF anayetumia king'amuzi...
0 Reactions
20 Replies
11K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naona simu ina storage kubwa kuliko bei elekezi
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Wakuu naombeni msaada wenu, simu yangu aina ya xiaomi Mi A2 lite kila nikijaribu kudownload app kutoka playstore au nikijaribu kuupdate app inaniambia kuwa download is pending. Hata hivyo simu...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Hello, Naomba mnisaidie namna ya kucontrol data usage, yamenifika hapa. Kama siku tano hivi nilijiunga kifurushi chenye GB 1.5 jana zikawa zimeisha, nikashangaa sana nikasema anyway labda kuna...
3 Reactions
18 Replies
5K Views
WanaJF, Hivi hapa kwetu Tanzania kuna Air conditioner (AC) zenye kutoa upepo wa moto badala ya baridi! Huku niliko baridi imeanza kupiga! Msaada tafadhali
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari ya muda huu wanajanvi? Naitaji mwenye kufahamu application halisi ya truecaller inayo sifika kuwa na uwezo wa kutambua jina la mpigaji ambae huna namba zake. Kwa maana application hii...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba elimu ya kufunga tweets za watu ambao cjawafolow.. imekuwa kero kubwa sana kwangu..
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Heshima kwenu wakuu. Nime-install bluestacks nika-download Showbox lakini nashindwa Kuifungua naombeni msaada wakuu. Inasema I don't have any device, email niliyotumia nilikuwa naitumia kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kamati ya bunge la Marekani imeitaka kampuni ya facebook kusitisha mpango wake wa kuanzisha sarafu yake ya kidigitali LIBRA mpaka pale itakapotoa idhini.
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Jaman wana JF nilikuwa na shida ya kujua juu ya course ya Biomedical engineering inausiana na nn Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom