Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wadau wa JF. Nina Laptop ambayo ina matatizo ya kioo ambacho kimepasuka na kuvujia wino. Model ya Laptop ni 15-ac130nia aina ya HP. Ukubwa wa kioo ni 15.6 Inches. Yeyote mwenye nacho au...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wazee wa Utest hii hapa official kabisa kwa Tanzania tumia link hii https://testerwork.com/tanzania/fbc222-tanzania/ Na msije mkadhani nafanya affiliation hapana kama unaweza tafuta Google...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu! Tafadhar mwenye kuijua App lock nzuri isiwe na matangazo. Msaada jaman
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu msaada, Samsung j5 model no. SM-J5008 mpya kabisa nikiweka line inasema ‘mobile network unavailable’ . Yeyote mwenye kujua jinsi ya kutatua tatizo hilo, au ambae anafahamu anaeweza kutatua...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu za mida, naomba mwenye kujua app inayoweza kutunza taarifa zote za simu zinazofutwa kwa mfano sms, call history, video na audio, Naomba anisaidia hiyo app.
1 Reactions
1 Replies
519 Views
Habari zenu wanajamvi! Natumai wote ni wazima, straight to the point, simu yangu ya tecno L8 Plus imezima toka juzi na nilipo jaribu kuiweka kwenye chaji iliandika "erro!please plug out the...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
habari zenu msaada wakuu hivi kwenye whatsup gb nikitaka kubadilisha rangi pale conservation nitoe nyeupe niweke nyekundu nafanyaje?ahsante
0 Reactions
2 Replies
571 Views
Nimesahau password yangu ya FB nikajaribu kwenda kwenye forgotten password wakanambia watatuma code za password kwenye no niliyojiunga nayo FB lakini hiyo no nilishapoteza siku nyingi. Je ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wanajf kuna hizi nafasi za andela ambazo huwa zinatoka kila mwaka ambapo mtu akiipata huwa anakuwa enroled kwenye andela learning comunity baada ya miezi sita wanaofanya vizuri huwa...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Jamani wenye uelewa zaidi yangu naombeni kujua ikiwa hiyo satellite tajwa hapo juu Yaani Nilesat 201@7°w ambayo ina FTA za kutosha kuna ambaye anaipata kwa Tanzania, Ikiwa yupo aniambie aipata...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
kwa bahati ndugu zangu leo nimebahatika ku attach picha ya setup ya NILESAT,SES 5,AMOS 5,katika dish ya ft 6, hiyo lnb ya rangi ya silver ya prime focus ku band ndo nnayopatia channel za nilesat...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Wakuu habarini,je naweza kutumia Antivirus mbili katika laptop Moja?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Imekuwa muda mrefu sana radio yangu ikiandika hvo “push power” na “protetctor” na ikiandika hvo inakata kbxa sauti, nin tatzo wadau naomba anaefahamu anijuze tafadhali. Nmeweka hapa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Sifa - Awe hana on-going project - Awe Morogoro, hata Dar sio mbaya. - Awe yuko vizuri kutumia Android Studio. - Awe yuko vizuri kwenye Java, Php, Firebase. - Awe mwaminifu. - Awe na uzoefu wa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada wa kupata website nnayo weza download latest game kama FIFA 17,18 au PES etc
0 Reactions
1 Replies
514 Views
Habari wakuu Nahitaji mtu wa kunifundisha kwa week 1 tu, adroid app programing by using android studio. Nimeshajifunza mwenyewe hii android studio shida kunabaadhi ya vitu ningepata ufafanuz...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaam. Nina crack ya PES 2017 nikiinstall nikijaribu kuplay inaonyesha unable to initialize SteamAPI naombeni msaada wa kutatua hili tatizo
0 Reactions
2 Replies
598 Views
Ukipata Ban Futa Official whatssap ya kutoka playstore, then install Gb whatssap na Yo whatssap .au install moja kati ya hizi mambo hayatasumbua niliwahi kula BAN lakini toka nimetumia ujanja huu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeipenda hii galaxy tab e ni toleo la nyuma kidogo wanaojua inafaa inaitwa Galaxy Tab E 9.6 SM-T560NU USA Model
0 Reactions
4 Replies
839 Views
Ninafikiria kununua flat screem tv lakini watu wanasema zina matatizo sana kulinganisha na tv za kawaida-yaani zile za chogo( cathode ray tubes) Madai haya yakanifanya nifanye utafiti kidogo...
2 Reactions
120 Replies
46K Views
Back
Top Bottom