Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
habari wakuu,ninaomba msaada,kwenye application ya online TV channel ya ITV na capital TV hazifunguki,tatizo liko wapi!
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kuna hii kitu nimekuta kwenye pc yangu baada ya kurestart Kwa msaada jamani nisadie wakuu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimesahau patterns ya smartphone yangu
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nimenunua samsung galaxy s7 ila ussd inayosoma ni ya kuangalia salio la kawaida tu la *102#. Zingine kama money transaction, menu ya vifurushi zote zinagoma. Naomba msaada nini nifanye au app...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Plz msaada mwenye maelekezo namna ya kufanya formating ya smartphone nimesahau patterns
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Apple have introduced a new gadget, it’s USB bracelet, walk with your data.
0 Reactions
4 Replies
711 Views
Ninaomba msaa wa kitaalam juu ya sim yangu inayoniambia "Google play store isn't responding" Natanguliza shukrani zenu.
0 Reactions
4 Replies
918 Views
Wakuu kama kichwa cha post kinavyojieleza ninahitaji kioo hicho kwani changu kina cracks.
0 Reactions
0 Replies
458 Views
0 Reactions
1 Replies
477 Views
Apple have introduced a new gadget, it’s USB bracelet, walk with your data.
1 Reactions
6 Replies
900 Views
Nimekuja kugundua hili huku nishachelewa aiseeh. Mana nilipata malalamiko kwa watu kama wawili kuwa software nilizowapa zimefutika hivyo niwafanyie mpango niwape tena. Sasa na mimi vitu vingi...
2 Reactions
73 Replies
9K Views
kwa yeyote anaejua au anafahamu naomba mnipatie sifa za hizi simu hasa katika utumiaji na ubora wake au udhaifu(kasoro) za hizi simu janja.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari njema sasa wale wote wanaotumia Iphone ambayo mfumo wake endeshi ni IOS kwa sasa wenye IOS kwanzia 8.0 wanaweza tumia whatsapp 2 ambazo ni Whatsapp business Official whatsapp Official...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu nilikuwa naomba msaada, kwa yule mwenye kujua jinsi gani ya kuangalia imei kwa sim ambayo iliyopotea, simu yenyew ni android!!!
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Wakuu habari? Windows inakwama (stack/freeze) inapoanza ku load tu, msaada tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Wakuu habari!, Baada ya tcra kutoa chanel za bure dstv, azam na zuku naomba tufahamishane nani anatumia dish za kawaida ambazo unafunga na kupata chanel free anijuze maana sitaki kuwa na lundo la...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
As we keep struggling with reliable energy sources, could this new approach to nuclear technology save our day? We have plenty of uranium in Tanzania. What we miss is the technology to mine and...
1 Reactions
0 Replies
344 Views
Hapo majuzi niliona kipindi chanel 5 kilikuwa kinahusu masuala ya kulinda data na faragha katika mawasiliano na mwandishi alimuuliza swali Maxence Melo. Je, ni simu ipi kati ya kitochi na...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Nina simu tajwa hapo juu [ Samsung Galaxy A6+} lakini imelockiwa kuwa ni ya nchini India hivyo haikubali laini ya mtandao wowote hapa Tanzania. Je kuna uwezekano wq kui-unlock ili itumie laini za...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hapo nn jibu....
1 Reactions
54 Replies
17K Views
Back
Top Bottom