Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu naombeni msaada Weekend hii nataka ninunue PC Nina laki tano mfukoni Je kwa laki tano bidhaa gani bora nitapata kati ya HP au dell Msaada wenu Tafadhali
1 Reactions
107 Replies
16K Views
Nimenunua simu samsung J5, ina wiki mbili sasa. Tangu nimeanza kuitumia sikuwahi kuisikia ikipata moto. Apps nilizoinstall ni goal.com betting apps na jf. Juzi kati nikainstall untvirus...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Habarini za saa hii wakubwa naomba msaada kama kuna mtu anaezijua network ID za ttcl maana tangu nimejiunga na kifurushi Cha mwezi data tupu mtandao hua unashuka sana na muda mwengine laini...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Wachina nasikia walishazindua hizi drone tax, sjui lini zitafika Bongoland asee
0 Reactions
1 Replies
516 Views
Natafuta battery ya Dell Latitude e5450. Any leads?
0 Reactions
0 Replies
585 Views
Amani ya MUNGU iwe nanyi nyote. Sina uzoefu sana na masuala ya IT, naamini humu wapo wenye taaluma zao... Je, naweza kutumia whatsapp kwenye PC? Kama ndiyo inakuwaje na inafanyaje kazi? shukran...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Km heading inavyojieleza hapo juu.Nilifungua email yangu ya yahoo takriban miaka sita au saba iliyopita na lengo hasa la kufungua email kwa wakati huo ni kujiunga na mtandao pendwa wa...
0 Reactions
2 Replies
975 Views
jinsi ya kudownload game kwenye pic
0 Reactions
5 Replies
598 Views
Solved
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, simu yangu "S7 edge" imedondoka na kioo cha mbele kime_crack. Naomba kufahamu kwa Dar wapi kuna mafundi wazuri wakufanya replacement. Natanguliza shukrani...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Naomba kuuliza je hizi IMEI namba zinatumikaje kutafuta simu iliyoibiwa?Maana tulishawahi kupewa taarifa na TCRA kuwa huu wizi wa smartphones muarobaini wake ulishapatikana. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Fanya Computer yako iongee unachokitaka Unaweza ukaifanya computer yako iongee bila kujua Programming language yoyote ile.Unachotakiwa ni 1.Fungua notepad yako 2. Copy na kupaste code hizo chini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
1.3 litre/ 1300cc na nyingine kama hzo kwene injini ya gari tafrisi yake nini?
0 Reactions
49 Replies
19K Views
Naomba Msaada Nimekwama Hapa Jinsi Ya Kufanya Simu Yangu Tecno N2 Itumie Lain Zote! Current Inatumia Laini Ya Tigo Nishadownload Firmware Yake + Sp Flash Tools + Android DAB Drivers Nishajaribu...
2 Reactions
25 Replies
12K Views
Hello wadau Pc yangu inashida haiwezi waka bila kutoa betri kwanza ndo nirudishe... Tatizo ni nini? Solution ni lipi?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii tafatdhali namba msaada wenu kama kuna program naweza kutumia kuja siku yangu ilipo ata kama imezimwa?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyosema Kuna laptop aina ya Dell Latitude E5420 Yenye intel core i5 2nd 2.3Ghz generation na 1.6 Graphic card Ram GB4 imekuwa na hili tatizo la kuzima...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu habari za majukumu, mimi nimenunua simu ya Samsung s6 edge nchini China na simu hii haikuja na Google Play, na mabo mengi mfano contacts, useful apps zinapatikana Google Play. Nimejitahidi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Katika pita pita zangu za kwenye mitandaoni nimekutana na post kwamba TIIS imekuwa hacked, Watu waliohack wameweka ujumbe kwamba wanataka ajira ,,,, Shuhudia mwenyewe www.tiis.go.tz
1 Reactions
42 Replies
9K Views
Natafuta movie ya Vantage point YouTube, kwa yule alie na link ya kuipata hii movie msaada naomba anipatie.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom