Timu ya wataalam wa teknolojia wa Samsung Adanced Institute of Technology (SAIT) kwa kushirikiana na wataalam toka Seoul National University's School of Chemical and Biological Engineering...
Wadau habari,
Natafuta console za Video Game za zamani zinazotumia Cartridge kama vilr Nintendo 64, Sega Genesis au Sega Mega Drive 2. Hata kama una Game Boy Nintendo njoo PM tafadhali tuongee...
Kama kichwa hapo juu, naomba nitoe somo kidgo kuhusu namna ya kurudisha au kutoa documents zako zilizofichwa na virus kwenye frash yako,.
ni rahis sana na haitakugharimu kitu chochote ,fuata...
Hello guys.
leo tuangalie ni jinsi gani ya kubadili jina la face book zaidi ya mara moja ndani ya siku walizoziweka wao. Usipoelewa vizuri unaweza pitia HAPA
kulingana na sheria za facebook...
MSAADA JINSI YA KUTUMIA NETELLER
KATIKA PITAPITA ZANGU MTAANDAONI NIMEKUTANA NA HII
NETELLER is an e-money/e-wallet stored-value service owned and operated by publicly traded
British global...
Habari zenu? Ndugu zangu mimi napenda sana kuwa mjuzi na mbobezi wa Adobe After effects katika kutengeneza video introduction na video editing pia napenda niwe mjuzi katika Adobe Photoshop C6 ili...
Samsung yafanya majaribio ya teknolojia ya 5G
Katika intaneti yenye kasi hivi sasa katika nchi zetu za Afrika ni teknolojia ya 4G na hiki ndio kizazi kinachoonekana kuwa chenye kasi ya intaneti...
ukienda mikoani unakuta kuna watu tofauti wana toa huduma ya cable tv
cha ajabu kwenye cable hizo unakuta channel zote za local na
zingine mfano supersport na kdhalika kwa bei nafuu mno
while...
Kuna watu wengi (sana sana wanaotumia windows 10) wamekuwa wakiilalamikia mitandao yao inawafanyia wizi wa mb kwa vifurushi wanavyojiunga pale wanapovitumia kwenye pc zao, Ukweli ni kwamba hii...
wakuu naomba mnielekeze jinsi ya kufanya unaangalia chanel za startimes bila kulipia kuna jamaa mmoja kaja huku kwetu huku moshi katokea dar anaweza kufanya king'amuzi cha startimes uangalie...
Ni ukwel usioficha kuwa ukuaji wa teknolojia kwa sasa umeathiri maisha ya watu wengi sana kijamii,kiuchumi na kisiasa ,
Kutoka na maono yangu ya sasa kwa kutumia upeo wangu mdogo I use to call...
Wakuu poleni na majukum nipo na rafiki yangu kaibiwa simu mbili tecno spark k 7 na w5. Tumeenda polisi chang'ombe wanadai aende kesho, tunawaza ikiwa atauza na kuondoka itakuaje? Please wakuu kama...
Umewahi kusikia kuhusu ergonomic keyboards? Ni computer keyboards ambazo, funguo zake zimepangwa kwenye muundo tofauti kitaalam kulingana na mwelekeo wa mwili wa mwanadamu. Kwamba computer...
Sometime kuuliza ni kutaka kujua zaidi,,mi jamani sijui tofauti kati ya C band na KU band kama vipi naomba mnijuze na pia endapo nitatumia Lnb za KU band kipi nitapata chanel zipi na C band...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.