Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nataka kutengeneza effect ya haraka kwenye mapigano kama ya 300 spartan first battle ambapo niliona jamaa anaruka taratibu alafu anashuka kwa kasi. Kama una tutorial mwaga hapa au toa link lakini...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari za leo, Nna simu hapa LG K7 ambayo ilikuwa ikitumika USA na 4G ikawa inafanya. Sasa hapa Tanzania pamoja na kukubali kushika network za simu kama kawaida internet inakamata 2G tu kuna...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Photo, Audio na Video (Auto downloaded) kwenye Whatsapp baada ya masaa kama 6 hivi huzikuti kwenye Album ya Whatsapp kwenye Gallery MSAADA Hapo.[emoji122]
0 Reactions
3 Replies
840 Views
Mwenye circuit ya LG 4G inahitajika mwenye nayo tufanye biashara.
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Niende 1kwa1 kwenye mada tajwa juu kama wewe unataka kuangalia Channel za ndani 5 bure Kwa walioko dar nendeni na kadi zenu za ving'amuzi kweny osifi za star times Kwa walioko mikoani nendeni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Waungwana simu yangu sasa ni kama miezi miwili network ipo down sehemu ambazo simu zingine zinasoma fresh. Nimeanza kuona shida tangu nilipofanya system update..kwa sasa ninatumia HiOS v2.2.0...
0 Reactions
3 Replies
750 Views
Habari wadau, Mimi ni mpenzi wa simu za kampuni ya sony . Nilianza na Sony Experia Z2 na sahivi ni meamua kuhamia experia XZ, hii simu ina tumia toleo jipya la android 8 (oreo) ila kilicho...
0 Reactions
1 Replies
872 Views
Habari wana uwanja Ebana kuna anayeweza kuniashiria program nzuri zaidi ya kutengeneza video lyrics zenye mbwembwe nyingi? Shukrani nazitanguliza kwanza. Share nasi basi hizo program.
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Ofa hii inaiisha tarehe 31 DEC 2017
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Wakuu nina simu ilikuwa na shida ya Kusoma line yenyewe inasuport GSM/UMTS/CDMA/LTE. Sasa naona GSM/UMTS tu ndo inafanya Kazi ila CDMA/LTE ukiselect simu inakosa mtandao yaani no network maanake...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Habari wakuu.... Jamani naombeni kufahamu windows 10 imeshatoka rasmi kwa windows phone?? Maana kila nikiupadte inanambia simu yangu ipo up to date na natumia window 8.1 kwa sasa. Kingine Ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Uwe photographer au sio Photographer, baadhi ya vitu unaweza kuwa ukivihitaji na usijue ni jinsi gani utaweza fanya kwa urahisi. Hapa tutaangalia ni jinsi gani ya kubadili rangi ya nguo katika...
3 Reactions
7 Replies
9K Views
App ipi ni nzuri inayofaa kutumiwa ili angalau kuzuia matumizi ya charge katika simu?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari za jioni wadau wa jukwaa hili,Lengo la kuleta uzi huu nikuzijua changamoto na jinsi tutakavyoweza kuzikabili ili tukiwa tunafanya matangazo tusiwe tunarudia makosa Binafsi ngoja nizitaje...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Line ya Tigo 4g inajizima data mara tu baada ya kuiwasha na pia inajidisconnect kila baada ya kuiconnect kwenye modem.....na ina bundle la 4gb ambalo nimejiunga jana inabidi litumike ndani ya week...
0 Reactions
5 Replies
986 Views
Habari wadau kama wewe ni mkazi wa dodoma na una ps3 yako haijalishi ni -Fat -slim -Super slim tutaweza kukuwekea Games unazozitaka kwenye mashine yako amboyo ipo unlocked pia zile ambazo...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu naombeni mnipe msaada namna ya kutengeneza blogspot coz nimekuwa nikikaa tu bila kazi na kupoteza mda mwingi kwenye mitandao ya kijamii pasipo faida yoyote.nimekuwa nikipata information...
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Kwanza kabisa,ningependa kusema sidharau 'baby walkers' ila sivipendi na nitaweka sababu zangu kwanini sivipendi. Kwa wale wasiojua baby walkers ni zile gari ndogo,maarufu sana miongoni mwa akina...
11 Reactions
137 Replies
14K Views
Wadau wang wa nguvu naomba mnisaidie kuna sim yang s3 nikiweka tigo ina onyesha 3g lakin haifanyi kazi nikiingia mtandaoni plzz
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom