Husika na mada tajwa hapo juu.
Cm yangu inaonesha H+ lkn inashindwa kubrowse internet. Nilishatumia sana settings zote za tigo lkn bado. Nimewapigia mara kadhaa tigo customer service wananitumia...
Natumain mu wazima wa afya kuna mtu nilikua nimemuachia laptop yangu kumbe hajui kuizima na wakati nilipoenda kuichukua nimekutana na tatizo hili BLUE SCREEN
Kwa anayejua naomba msaada tafadhali...
Habari wadau wa mambo ya teknolojia, mimi ni mpenz mkubwa sana wa mambo haya, nimekuja kwenu, nina ombi, nataka kuwa mtengenezaji wa logo, kwani ni kitu ninachokipenda sana.
Hivyo ninaomba...
Salaam sana ndugu zangu na hongereni kwa kuendelea kujenga Taifa. Naomba mwenye uwezo wa kuwa na kioo cha MacBook Pro '13 anitafutie na bei ili nibadili cha kwangu ambacho kilipata crack kwa...
Habari za jioni wakuu naombeni mnisaidie njia rahisi kutumia niweze kuondoa password kwenye HDD maana nimepewa mwenye nayo pia kasahau sasa nataka niipige window
Habari za majukumu wakuu leo nimeamua kuwaletea facebook code ambayo utatumia kupendezesha maneno unayo post au kukoment . twende pamoja :- nenda moja kwa moja katika facebook yako alafu coment au...
Wakuu kuna kitu kinanikanganya sana yaan nimepata kuona simu ya jamaa yangu sumsung j7prime ikiwa imepata update ya 7.0 naugat lakini yangu nashangaa hadi leo haijaniletea simu yangu ina official...
Habar zenu wakuu, sim yangu ni tecno C8 inatatizo ukiwa unasoma thread tena hii ya jamiiforamu mfano unasoma maada harafu unakuwa unaangalia comment, mara inarud kawaida katka screen, non tatizo...
Habari wadau wa kisima cha maarifa.
Baada ya kupata ujuzi wa namna ya kufungua blog kutoka kwa wadau mbalimbali humu jf nikafanikiwa kufungua blog yangu.
Kutokana na kukosa main topic...
Amd radeon rx 550 4gb polaris edition is brand new!!!
Ina play pc game zote za kisasa
GTA V
FIFA 18
WITCHER 3
MASS Effect
Pia inatumika kwenye software nyingi za kisasa bei 300,000/- kwa...
Za leo Ndugu zangu...... Nimeibiwa sim Jana kuna document na picha ambazo ni muhim kwangu je, nitazipataje na izo picha sijahifadhi kwenye google picture niliweka tu kwenye galary. Aina ya sim ni...
Habari zenu wana I.T, wandugu ninakicmu changu tecno W3 inatatzo kwenye upande wa earphone, nikihitaj kutumia earphone kusikiliza mziki unapiga kwenye earphone na spika ya nje ya simu, msaada wa...
Habari za mda huu natafuta mtaalamu wa seo ambaye atakayefanya blog yangu ikawa inatokea kwenye search engine iwe page ya kwanza iwe ina shika namba moja au mbili au tatu kwa yeyote yule atakaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.