Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nina simu yangu aina ya Samsung Galaxy A 8 baada ya kusahau password ikabidi niiflash sasa tatizo internal storage inaniambia ni 4GB na iko full siwezi kuintall kitu chochote kile na...
1 Reactions
5 Replies
796 Views
Hadi juzi tuliamini ya kwamba umbali hadi nyota nyingine haupitiki. Basi sasa mgeni wa kwanza kutoa huko amepita katika nyumba yetu - bila kupiga hodi! Ni kitu chenye urefu wa mita 130 na umbo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Taasisi ya sayansi ya China yakuza mpunga wa aina mpya wenye urefu wa mita 2.2 Idara ya kilimo katika ukanda wa nusu tropiki ya Taasisi ya sayansi ya China imekuza mpunga wa aina mpya ambao urefu...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Saudi Arabia yaipa roboti uraia Kwenye mkutano wa mapendekezo ya uwezekaji katika siku zijazo uliofanyika kuanzia tarehe 24 hadi tarehe 26 Oktoba mjini Riyadh, Saudi Arabia, roboti iitwayo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Njiwa wana uwezo mkubwa wa kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja Wanasayansi wa Ujerumani wamegundua kuwa njiwa wana uwezo mkubwa wa kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja. Uwezo wao unafanana na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH BismiLLaah, AlhamduliLLaah. Na'am, In shaa Allaah Leo Tutajuzana Vipi Utaweza Kuingia TELEGRAM Kwenye Lap/Desk-Top Yako. Software Itakayokuwa...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Jamn mwenye uelewa a google account anisaidie. Kila nikijarbu kijisajili niagoma kunituma verification code toka mwaka juz mpaka jana haijaniruhusu kabisa kutumia hiyo google account kias kwamba...
0 Reactions
2 Replies
587 Views
Naombeni mnisaidie jinsi ya kudownload audio kwa kuserch kwenye google na kuweza kizisikiliza offline
0 Reactions
1 Replies
846 Views
Habari. Nahitaji kutengenezewa application iwe na uwezo wa kufanya kwenye simu aina zote . Ambayo ni kama library na mtu anaweza download pdf files. Iwe ni ya kulipia kwa baadhi ya vitu na...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Habarini wadau, Naomba kujua gharama ya betri original ya PC ya HP kama headline inavyojieleza, nitashukuru sana kwa mchango wako. Ahsante.
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Introduction - Free CSS Tutorial Cascading Style Sheets (CSS) is a fantastic tool to add layout to your websites. It can save you a lot of time and it enables you to design websites in a...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Habari wadau, Nina tatizo fulani hapa kuhusu PC yangu ni HP Compaq Pro dc 6300 Microtower, Ina tatizo muda Fulani inakuwa inaganda! Haileti Screen of Death inaganda tu na kila kitu kinasimama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kama kuna MTU yeyote anayeweza kuchokonoa betri la laptop ili liweze kukaa na chaji mda mrefu ......tupeane idea
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu wa technologia naomba msaada wenu, Naomba atakaye niwezesha kupata apk ya hizi paid apps kwenye google play store Betting tips HT-FT VIP SUPERTIPSMAN SPECIAL VIP EXPERT BETTING TIPS...
1 Reactions
22 Replies
8K Views
Habari ya maisha wanajamii... Nataka kuicrack app ya Google play store kwa kutumia lucky patcher, lakini naomba kuuliza je kunaweza kuleta matatizo kwenye simu, na kuna ambaye alishawahi fanya...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari Wana jamii forum, natumai mu wazma wa afya. Niende moja kwa moja kwenye kiini, Nina laptop yangu niliinunua miaka mitatu iliyopita, aina ya HP, ilikuwa nzima na haikuwa na tatizo lolote...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama nlivyoomba hapo juu simu yangu nikizima na kuwasha kuna maneno haya hapo chini yanamaanisha nini? It is detected that SIM card does not match the carrier supported by the phone, and the...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ebhana Kuna TV flat ya Philips inaandika PC nataka irudi ktk hali yake ya kawaida"... Msaada jamani, hii imetokea baada ya kubonyezwa limoti yake na mdogo wangu.
0 Reactions
1 Replies
718 Views
wataalamu naombeni msaada hapo kwani nimekuwa nikidownload software pamoja na application za android ambazo huwa na notes ili nijisomee ila nikizifungua zinanihitaji nitumie data. Hivyo upande wa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Naomba msaada kwa mtu anaeweza kufungua picha ambazo zimeathiriwa na virus. Picha zipo ila zinafunguka kama vidubwasha Fulani hivi hata file extantion yake imebadilika. Tafadhali mwenye ujuzi...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom