habari
nimekuwa muhanga wa kuaribikiwa na usb charger za smartphone na earphone kila mara,
wakuu naombeni ushauri nini cha kufanya kuepukana na gharama za kununua usb za kuchajia kila mara?
Habari Zenu Wakuu..
Kuna watu walikua marafiki zangu facebook wakani block bila sababu na Idadi yao ni 10 jamii yao ni Wazungu kwa hiyo naombeni msaada wenu ili niweze ku...
Screen ina rangi ya pink pia kuna muda mistari inakuja na kupotea mfano nikiweka cursor na ku bonyeza kwenye " search box" au kwenye "wifi' icon
Pia Pc inakua nzito shida huenda ikawa nini...
Msaada kwa yeyote anaejua kuappgrd android version kwa manual way nkitumia optn ya sim kwny setting inafeli inaniambia ninatumia current version.
Na android version ambay iko current n 4.4.2...
Digital Ocean wanatoa free nafasi ya kujaribu cloud platform yao bure kabisa.
Unaweza kuset cloud server kwa ajili ya project yako yoyote.
Operating systems unazoweza kuzi install ni pamoja na...
Habari zenu ndugu wanajamvi….
Usukaji wa umeme wa magari na usukaji umeme wa majumba na viwanda ni vitengo viwili katika fani ya umeme kwa maana nyingine naweza kusema kitengo chochote ambacho...
Habari zenu wadau,naombeni msaada kwa mwenye uelewa..natumia Simu ya Xiaomi Redmi note 3 pro ina IR blaster kwa ajili ya ku control vitu kama Tv,AC,fan n.k tatizo nlilonalo ni kuwa kwenye...
Wakuu habarii za saa hizi...!! Mimi naomba msaada kwa anaejua,nina simu yangu Blackberry z30 sasa ina 4G lakini nikiweka option hiyo ya 4G hata kama line nimeisajili inaniandikia Network...
Wanajukwaa habari ya Uzima, Nina tatizo kidogo kwenye account yangu ya Twitter yaani sioni comments za watu katika tweets zote za watu niliowafollow Twitter helpers nimepekua sana tu lakini...
Nimekuwa mpenzi wa brand ya Samsung kwa muda mrefu sana.
Lakini ujio wa hii simu ya Oppo f3 plus unafanya nianze kubadilisha mawazo.
Karibuni tuichambue hapa.
Hii simu inazinduliwa Leo Kenya.
Habari za asubuhi wana jukwaa.
Naombeni utatuzi wa swali langu hapo juu nifanyeje sub woofer zangu zimeniharibia memory card zangu mbili kwa muda mfupi.
Nifanyeje?
Wale wanaopiga mziki heavy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.