jaman nina tatizo kwenye flash yangu imeingiliwa na virus baada ya kuweka kwenye pc ambayo ilikuwa infected na virus huyo anaweka shortcut kwa kila ntakachoweka kwenye flash nimejaribu kuscan...
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH.
NJIA 5 ZA KU SHUTDOWN LAP/DESK-TOP
NJIA YAKWANZA (Maarufu Mnoo)
-Bofya WIN KEY (Button Yenye Logo Ya WINDOWS, Kisha Bofya POWER, Bofya SHUTDOWN...
Habari JF experts,
Kwa wenye interest ya kucreate e commerce website na kuuza dunia nzuri
it is almost possible
The only problems was the payment gateways
but now you can accept credit cards and...
Oya wakuu HV inakuwaje kwamba ukidownload game kubwa lenye mb kuanzia 300 unaambiwa uwashe WiFi wakat una mb kibao da hili swala linanikera xana unakuta game umelipenda graphics Kali kama...
Wakuu habari za saa hizi? aisee leo nimekutana na hii huduma ya m pawa kwenye menyu ya m pesa na maelezo yake ni kwa ajili ya kuweka akiba pamoja na mkopo.Naomba mwenye masharti ya hii huduma...
Wakuu,kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo.
Naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kuandika na kuyafanya maandishi yatokee kwenye background ya document inayoandaliwa kweny Microsoft word,mfano...
Jaman habari zenu!.nimepata taitizo kwenye SMU yangu Tecno N8 niliweka pattern afu nimeisahau sasa naomba mnisaidie jinsi ya kufix hili tatizo .kwa njia yeyote iwe program au techinc nyingine.
Habari za Muda huu Ndugu zangu...hatimaye leo imekamilika, Hii ni app mpya inayoitwa mtikiso Music hii app imetokana na blog yake ya mtikiso hivyo basi kuanzia sasa inapatikana playstore kwa...
Habari zenu wapendwa...kheri ya xmass in advance..naomba msaada kuhusu app ya jamii forum..mfano nikitaka ku mpm (private message) inatokea hii text..need valid id.ni nini hiki?? Please msaada...
Browser yenye kb320 inayo okoa space kwenye simu yako ,iko faster ,no ads kwa wale wanaochukia ads content, browse smoothly.Vilevile ina incognito browsing mode kwa wale wasio penda ku keep...
Habari Zenu Wakuu..
Kuna watu walikua marafiki zangu facebook wakani block bila sababu na Idadi yao ni 10 jamii yao ni Wazungu kwa hiyo naombeni msaada wenu ili niweze ku...
Habari Zenu Wakuu..
Kuna watu walikua marafiki zangu facebook wakani block bila sababu na Idadi yao ni 10 jamii yao ni Wazungu kwa hiyo naombeni msaada wenu ili niweze ku...
Habari wanajamvi;
Nimeiunda transmitter hii ya mawimbi ya FM ambayo inaweza kurusha mawimbi yake hadi kilometer mbili kwa antenna yenye urefu wa mita saba on air,unaweza kuongeza...
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
BismiLLaah, AlhamduliLLaah
In shaa Allaah, Tutakhabarishana JINSI YA KU LOG OUT FB KWENYE SIMU ILIYOPOTEA.
Kama Ilivyokuwa Mipango Ya Allaah...
Habari za majukumu wana JF.
Naomba msaada wenu namna ya kutatua hili tatizo kwenywe cm yangu *NOKIA X2 dual SIM*.
Simu hii haifungui play store na nimejaribu ku format na ku add google account...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.