Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mwenye kujua namna ya kubadilisha jina la account Facebook naomba anisaidie
1 Reactions
29 Replies
9K Views
Naombeni msaada wa kujua software/app for android and pc za kuweka picha na sauti....for u tube use,kwa sasa hiv natumia filmora inasumbua sana...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Wakuu nahitaji fundi anayeweza Kutoa lock Kwenye machine yangu pia nahitaji hard disk angalau gb 180 ya hiyo pc Pc inalock lock kwenye administration siyo kwenye hard disk yaani nimejaribu...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Ni salama wadau?,,mwenye kuifahamu hiyo simu inaitwa motorola "X" (moto x), nahitaji trei ya laini yaani kichuma kinachobeba laini mwenye kuwa nacho anichek inbox tuyajenge nina shida nacho saana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kusaidiwa hili tatizo simu yangu ( Tecno N8) inashindwa kupokea baadhi ya message ...ilihali kwa anaetuma inaleta delivery report kua nimepokea message lakini nikiangalia hakuna huo ujumbe
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, Nna line ya ttcl ambayo naitumia kwenye mobile router hizi za huawei (dashboard yake haina option ya kurecharge). Tatizo linakuja wakati wa kujiunga na kifurushi. Nikiitumia...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Mercury-free LED-backlit display Arsenic-free display glass BFR-free PVC-free5 Beryllium-free Highly recyclable aluminum enclosure Meets ENERGY STAR 6.1 requirements Rated EPEAT Gold6 Contact us...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ndugu marafiki wanajamii wadau wa JF. Naombeni ushauri nina simu yangu aina ya samsung galaxy J7 ninataka niiuze na ina miezi 9 tangu niinunue. Nataka niiuze ninunue simu nyingine. Sasa je ni...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa nini hakuna mikanda kwenye viti vya treni ya kasi? Ni jambo lililozoeleka kukuta mikanda kwenye viti vya magari na ndege, lakini hakuna mikanda kwenye viti vya treni ya kasi. Ukweli ni...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu,samahani naomba kufahamu maelezo ya kina kihusu tablets za thl katika matumizi yake mbali na kusoma vp katika matumizi mengine ya sim iko vizur??hasa tach,,uwezo wake n,k,nataka kuichukua...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ongezea na yako hapo chini
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habar za wkt huu wana JF, naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa cha habari, naomba msaada kwa anaejua Android appl nzuri kwa kuangalizia live match kwa kutumia simu ya Android, Ipi ni nzuri zaid?
1 Reactions
46 Replies
5K Views
Habari mwana - JF, Naomba mnifundishe jinsi ya kulipia bidhaa ninazotaka kulipia kwa ya mtandao, Natumia Visa... Msaada plz nimekwama
0 Reactions
6 Replies
3K Views
*Useful information* 1. *PAN* Permanent Account Number. 2. *PDF* Portable Document format. 3. *SIM* Subscriber Identity Module. 4. *ATM* Automated Teller Machine. 5. *IFSC* Indian Financial...
2 Reactions
1 Replies
564 Views
Kama una tatizo lolote na Sony Xperia yeyote tujuze tukusaidie (Huduma hii haipo kwa simu za Sony Ericsson)
0 Reactions
185 Replies
32K Views
Habari za mchama huu wana jamvi...... Naomba msaada juu ya simu ya Itel 1351, nimeiblok kwa kukosea kuingiza paten mara nyingi kimakosa, Hivyo naomba mwenye kujua jinsi ya kufanya Hard reset...
0 Reactions
1 Replies
955 Views
nafungua iphones zenye passcode lock na kutoa icloud nasisitiza natoa icloud sio kufungua,na sio iphones zote zinaweza funguliwa especially ambazo zinalatest versions za IOS but whatever lete simu...
1 Reactions
53 Replies
8K Views
Jamani naomba msaada kuhusu email yangu kila ninapoingiza data kuiludisha inagoma coz tatizo hili limekuja baada ya kununu sm mpya so sijui tatizo laweza kuwa ni nn msaada plz
0 Reactions
2 Replies
852 Views
Kwanini nyangumi wanakwama fukweni? Hivi karibuni nyangumi aina ya humpback alikwama mara mbili ufukweni huko Qidong, hapa China. Watu walijaribu kumwokoa lakini walishindwa. Kila mwaka nyangumi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom