Habari wana jamvi nimeletewa simu mbili za LG VERIZON moja ni tablet, nimejaribu kuweka laini za hapa bongo hazisomi na wala haidai kuingiza network code to unlock, naomba msaada wenu km kuna mtu...
Watanzania Tumerelax Sana.
Jaribu Kuangalia
ISACA TANZANIA
ISACA KENYA
ISACA UGANDA
Hivi Hawa jamaa tunaowaita Wezi, Je ni kweli wezi au Maopurtunisty???
Angalia wapigaji na wafanyaji.
Kampuni ya sim ya Apple imeshitakiwa huko marekani kwa kosa la kupunguza uwezo wa Iphone za zamani maksudi ili watu wanunue Iphone mpya.
Kampuni ya apple imefunguliwa mashtaka 8 hadi sasa na moja...
Habari wataalamu wangu
Nina blog tiyari ila...nasikia ukitaka upate pesa kupitia blog sharti uwe (Adsense)...sasa nimeifungua ADSENSE mpaka kweny kipengere cha Payments...mpaka Billing...sasa...
Leo hii nmependa kushare nanyi game zuri lenye GRAPHICS KALI na challange nyingi za maisha GTA SAN ADREAS.
GTA SAN ANDREAS ni game ambalo limeandaliwa na kudesigniwa na ma director tofauti...
Wakuu nipo Dar nahitaji fundi wa kuroot simu ya coolpad nimefika kariakoo kwa baadhi ya mafundi imewashinda. Tatizo la simu hiyo Inazima yenyewe haiwezi kuwaka mpaka iwekwe kwenye chaji ukitoa...
Salaam sana.simu yangu ni mpya tu lakini cha ajabu n kwamba huwa inazima bila sababu na wakati mwingine inagoma ku-sense.nilitamani kuirudisha dukan lakin mbaya zaid sjachukua risiti
Habari wataalamu...
Nina blog yangu...ila format yake sijaielewa na jinsi ya kuweka MATANGAZO na kutengeneza PESA sijajua...
Kitu kingine jinsi format yake ilivyo iko tofauti na blogs...
Salam
Samahani wakuu....simu yangu ni mpya haina mda mrefu "samsung grand prime+"
Sasa nashangaa kila nikichaji full inaenda mpka ikifika 60% inazima.....yani kila inapofika 60% inazima kabisa...
habari zenu wana jamvi, mwenye ujuzi na uelewa juu ya Google adsense na propeller ads ni ipi nzuri zaidi ambayo naweza fanya nao kazi na nikafaidika zaidi kwenye blog yangu
hawa wote wawili...
Habari zenu wana jf
Kuna tatizo ambalo nali-experience kwenye simu yangu ya Android. Kama kuna mtu ana ujuzi nalo naomba anisaidie.
Tatizo lenyewe ni kwamba; Simu yangu haionyeshi WhatsApp...
Habar zenu jaman.kwanza nawatakia heri ya xmass na mwaka mpya .Ndugu me ninashida na wanaojua cmd ( command line zake ) au hata kama unavideo au link ya toturial nzur ntumie hoseaalute3@gmail.com...
wadau nlikuwa naomba nulize kama tanzania kuna hackers i mean expert hackers sio amateurs aka copy n paste from google kama vile jamaa aliye hack tcu which was quite easy PLEASF I NEED FEEDBACK...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.