Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wakuu, Mwaka 2018 ndo unakaribia kuanza. sasa nafikiria niongeze kitu kichwa. Nawaza nisome programming language kama C++ na python. Napenda kupata taarifa kutoka kwenu wadau. Pia mwenye...
2 Reactions
8 Replies
980 Views
Wanajamii, Anayeijua 3g thl tablet slim model ushauri inauzwa tsh 260000 dukani Dar.
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Hizi frameworks za Javascript ambazo zinatumika kwenye web and app development!! Angular ilitengenezwa na google back then in 2010 na ikafanyiwa modifications mpaka sasa imefikia version 5...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar wana jamvi..natumia samsung tab 10.1 inch..nikiweka chip ya tigo vitu kama browsers,youtube siwez tumia "network error"...whatsap,jamii forum,instagram natumia..NATATUA VIPI TATIZO?
0 Reactions
1 Replies
642 Views
hellow wana jamvi naomba mwenye uelewa jinsi ya kurudisha system apps zilizo futwa katka sim aina ya huawei.....nimerajiru ku fanya restore default lakini hiki ndo naletewa na haiendelei kufanya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wadau Nina PC moja INA CPU ya kizamani sana pentium 4 with 2.2Ghz Ni HP Compaq d510 sff Sasa nilikua nahitaji ni upgrade processor. Sasa hapa ni processor IPI yenye nguvu kidogo itakaa vizuri.
0 Reactions
0 Replies
513 Views
nataka kuanzisha e-commerce website je ni vitu gani vya kuzingatia
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Nina kazi ndogo kwa aliye na experience na Wordpress website. Ni kuinstall template ambayo nimeinunua. Kalibu inbox tuongee..
0 Reactions
6 Replies
989 Views
Wakuu habari ya jioni. Natafuta mtu mwenye kioo original cha Samsung S4 hapo juuikiwa ni pamoja na ile digitizer. Yangu ilianguka na kupasua kioo. Simu ni nzima kabisa sema changamoto ni kioo...
0 Reactions
5 Replies
814 Views
Ndugu wanajamvi napenda kujua kama spare parts za audi zinapatikana bongo hapa. Maana kuna mtu anataka nimwagizie audi ila sasa kabla sijamuagizia ni bora nikajua upatikanaji wa spare nisije...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Simu ilizima ghafla naenda CALCARE (tecno service) mwanza pale rwagasore naambiwa elfu 80[emoji15] ? simu nimenunua laki na 80 niongeze 80. jumla (260) [emoji24] [emoji24] [emoji31] Naambiwa...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari wanajamvi? Natumai wazima.. Leo nataka nionyeshe njia rahis ya kupakua media tofauti kene Instagram kwa kutumia app ndogo sana Regrann.. Unaweza ipakua hapa [emoji117] Regrann Baada ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, ningependa kuwashirikisha huduma ninazotoa ni pamoja na ; Tshirts Uniforms Calendars Business Cards Flyers Brochures wheelcovers Delivery note Invoice book receipt book...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Habarini ndug zangu nnatumia tecno c7 nataka kuiroot ivo naomba kwa yeyote anaefaham hii process anielekeze
2 Reactions
96 Replies
12K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenye nacho tuwasiliane..
0 Reactions
0 Replies
457 Views
Jaman naombeni msaada wa software FL stydio, Cubase Au Nuendo na nyingine Za music production
0 Reactions
0 Replies
477 Views
habarini za muda huu wana forum, nilikuwa naulizia namna ya Ku unlock coin za game LA PES 2018 kwa anayefahamu anisaidie
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za ndugu zangu. Mwezi uliopita nilifanikiwa kununua laptop moja niliyokua naihitaji sana katika shughuli zangu za hapa na pale, pia nikiwa kama mpenzi wa laptops games niliona inanifaa...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
samahani mwenye ujuzi anieleweshe kama pc yenye specification zifuatazo inaweza support games kubwa processor duo core 3.1 Ghz RAM 4 graphic card 1 gb natanguliza shukrani
1 Reactions
1 Replies
426 Views
Pamoja na upya wa sigara hizi kupunguza kipato kwa watu wanaojihusisha na kilimo cha tumbaku lakini sigara hizi lazima ziwe na madhara ya mionzi au kemikali zitokanazo na mfumo halisi wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom