Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
MREJESHO!! Nimeichukua simu ile aina ya OPPO F5. Hakika sijutii MaashaaAllaah ni simu nzuri sana. Usuri wake ni kuanzia katika kukaa na chaji, technolojia yake na hata muonekano wake ni mzuri...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Juzi nimeifanyia manuva miracle box ... nimefake fake maujanja mengi sana mpaka start button imetokea kuonyesha ipo tayari kufanya kazi Lakini sijawah kuitumia hii software nikajaribu kuzima simu...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari zenu wana jukwaa! Mi mgeni sana kwenye hili jukwaa mara nyingi nikireply kwenye uzi sionagi options za ku-bold, underline, italics pamoja na kutumia colours. Naomba mnifunze, natumia PC.
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Wakuu nipo sehemu sina access ya playstore, nina shida sana na vpn mnoo nisaidieni, kuna vitu vya muhimu nataka kuvipata whatsapp, nimeweka ya kununua lakini imefanya kazi nikiwa dukani, haikubali...
0 Reactions
25 Replies
10K Views
Wakuu naomben kusaidiwa hii game imekua ikinisumbua sana kila ninapo jarib kuinstal inanigomea nime view youtube videos kibao nikajifunza jinsi ya kudownload data ya apk na mod na jinsi ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
YALIYOMO KATIKA HIO MPYA. >Multiple Account Sasa utaweza kutengeneza Akaunt mbili Ama zaidi kupitia App hio moja wala huhitaji Paraller Sapce Ili kutengeneza Akaunt zaidi. >Swipe Reply Sasa...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama unayotufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Ambayo ina option ya kupiga simu je naweza ipata wapi niko Morogoro
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za mwaka mpya wapendwa,,, Nina laini ya vodacom ambayo nikiiweka kwenye smartphone yoyote huwezi kumpigia mtu,,, maana nishajaribu kuiweka kwenye smartphone aina nyingi lakini...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Tunatengeneza tovuti + FREE host a year kama utatengeneza tovuti kwetu kabla ya 31 DEC 2017. Wahi offer hii kabla haijaisha
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Bila shaka hili ndo toleo latest 23.001.07.29.910 kwa modem za Huawei kwa wale ambao hamjaipata hii. Mimi nime-upgrade kwenye Huawei E303 pia nmereplace ile ya mwanzo iliyo kwenye modem na kuweka...
6 Reactions
62 Replies
7K Views
Habari wakuu.. Kuna hii app ya WiFi map, naisikia sana inazungumziwa humu. Hivyo naomba maelezo zaidi ili niweze kutumia Maana nimejaribu kudownload play store naona chenga tu. So wale woote...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naendelea kutafuta line ya kuperuzi internet, je hawa TTCL speed ikoje... Kwa anaejua hii please
2 Reactions
40 Replies
8K Views
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH Bismillaah, AlhamduliLLaah. Na'am leo tutapatapo kujifunza JINSI YA KUFICHA NA KUFICHUA CONTACTs BILA KUTUMIA APPLICATION. JINSI YA KUFICHA 1...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Si ngeni sana kwa watumiaji wa barua pepe kupata taarifa binafsi. Unaweza kuona dunia na mambo yake ya ajabu sana, kama ulishawahi kukutana na barua pepe ya mtoto wa mfalme wa Nigeria ambaye...
4 Reactions
42 Replies
4K Views
Indonesia ni nchi pekee ambayo inaruhusa ya serikali kutambua jina moja kwa raia wake, na hivyo basi kwa kutambua hili Facebook wakaruhusu watu wa nchi ya Indonesia kutumia jina moja kwenye...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau, nii unroot simu yangu sumsung s3, sasa nataka nibadiliche custom to offficial , mwenye ujuzi wa hii kitu anisaidie namna yakuondoa custom , nakuweka official
0 Reactions
1 Replies
454 Views
Natambua kwamba app ya jf imetoka mbali sana. lakini naona ukuaji wake upo taratibu. ukilinganisha na app zingine. kwa sababu app zingine naona wanajitahidi kila siku kutoa update na kulekebisha...
1 Reactions
8 Replies
865 Views
Wakuu samahanini kuna mtu alinitumia ela halotel money sasa akakosea akatuma muda wa maongezi,ni ela nyingi sasa nataka niwaunge watu nirudishe hata ela yang nusu, naeza nkakuunga Gb au dakika...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom