Habari wadau. Nimetokea kuipenda hiyo gari na natamani kuinunua panapo majaliwa. Naomba msaada kujua changamoto zake hasa.. ina shida gani... upatinakaji wa spea na menguneyo. Nimepitia thread...
Wapendwa kwa wale wa juzi wa simu na kwa waliotumia hizi simu, naomba mnifahamishe ,uimara ,utunzaji wa chaji, uwezo wake kiufanisi , nisimu IPI naweza kuifurahia katika kuitumia.
Nawasalimu...
Mitandao yetu ya simu mingi imekuwa slow sana hadi inakera. Binafsi sio mtaalam wa mambo ya computer /Ict lakini nimegundua namna ya kuweza kuongeza spidi ya mtandao Kwa kiasi kidogo.
Unahitaji...
Ni wakati muafaka kwa waTanzania kujivunia jambo hili kubwa.
Kampuni ya TodaySky , inayojihusisha na uvumbuzi wa hali ya juu katika masuala ya TEHAMA , sasa imeamua kuwaokoa wajasiliamali wa...
Download application | Makamuzi
checkup mayo hyo n app Moya inayokuwezesha kutangaza na kuwasiliana na watu mbali mbali ambayo inamwonekano WA tofauti kabisa na app zngine ukishapata taarifa hz...
Mamilioni ya kompyuta kwa kutumia mfumo Intel yamekumbwa na athari za kudukuliwa kwasababu ambayo haijatambulika kwa muongo mmoja iliyopita.
Mifumo ya programu sasa kupitia wataalamu wanafanya...
Naomba anaefahamu jinsi ya kujisajili mtandaoni kama Google search engine ili mtu anapo andika jina langu kwenye uwanja wa kutafutia awe ananipata na maelezo yangu na picha zangu. MF. Kama...
Tunaishi katika ulimwengu wa kiteknolojia sasa....,vitu vilivyotumia muda mwingi kukamilika zamani sahivi vinAtumia muda mchache mno.....,mengi kati ya haya yamerahisishwa na uwepo wa simu za...
Simu yangu ya Samsung s6 ina matatizo yafuatayo, naomba msaada kwa fundi au mtu anayeweza kutengeneza:
1.Ina jirestart mara kwa mara
2.Sometimes ninapoiwasha inaonesha rangi ya kijivu kwenye...
Let’s start at the start
We all know that one of the greatest things about the Internet is the possibility to easily send and receive information online. If that information is not confidential...
Wakuu naomba kujuzwa nimekimbia halotel nimesajii laini ya zantel garama nafuu sana mwenyewe kujua jinsi ya kujiunga na University offer anipe kod zake.. Laini nimesajili ya chuo ila inagoma...
Wanajukwaa habari za majukumu.
Kwa ufupi na usahihi, Simu yangu imeanzisha tatzo la kutosikiwa upande wa pili wa kule nako wasiliana (nikipiga) japo mie humsikia ninae wasiliana nae.
Zaidi ya...
Wakuuunaweza kuinstal ram ya samsung kwenye htc au simu nyingine yaan nkimaansiha ile display ya simu muonekano wake na hata fonts bila kuroot....ukainstal kwenye simu nyingine na ikaonekana kama...
Jamani nimeamini icloud inatolewa tena bila utata... Nimeamini baada ya kusoma kupitia you tube kama unabisha tembelea chanel ya (icloudking) ukapate somo jinsi ya kuitoa any ios
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.