Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wana jf I hope mko poa ninatumia samsung galax neo grand 2 yenye version ya 4.4.4 nimejaribu kuroot inagoma kabisa na nmefuata procedure zoote lakini wapi msaasa jamani
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wanajamvi wa mavituz ya science. Nauliza ni antivirus gani ya bure ni nzuri? Kati ya hizi ambazo ni top ten kwa mujibu wa mtandao wa Yahoo? Hii kaspesky imekuwa bomu inafanya computer kuwa nzito...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Naomba msaada wa kupata product keys za window 8.1...kweny pc ya ASUS MSAADA WAKUU...nataka niactivate window 8.1
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa yeyote anayeuza iphone 6, 7 yake yenye tatizo au kama imechoka anicheki. Ilimradi isiwe imekuwa locked. I mean kuu kuu.. au kama ina tatizo lolote halafu aitengenezeki mbali na kuwa locked...
0 Reactions
4 Replies
833 Views
Ninayo ps 3 controller wireless,nimejaribu kuitumia kwenye computer kwa kutumua usb wire inafanya kazi na ninacheza game zote vyema.. Kwa sasa naitaji kuitumia kama wireless yaan bila kuchomeka...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa Naomba MSAADA wa simu yangu Tecno w4 Nikiiwasha inaleta maandishi haya UNFORTUNATELY THE PROCESS ANDROID.PROCESS MEDIA HAS STOP Kisha inajizima Naomba MSAADA kwenu wakuu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam wana technology Nipo Mwanza nahitaji kununua digital camera ndogo kwa matumizi yangu binafsi So naomba mnijuzi aina gani ni nzuri na bei zake zikoje ili nkaitafute dukani Happy Boxing Day.
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari ya uzima wakuu na heri ya mwaka mpya 2018! Naomba msaada,kama kuna yeyote anajua taasisi inayotoa practical training ya networking kwa bei nafuu hapa jijini Dar es salaam, nitashukuru sana...
0 Reactions
1 Replies
837 Views
Wakuu Habari zenu! Hope you are Doing Good. Waungwana, Muda si mrefu nilikuwa nimeshika Simu Android. Sasa nikataka kufuta Pich moja kwenye CAMERA PICS, Kwa Bahati mbaya nikaFUTA Faili zima...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
usishangae kuona teknolojia ina kufikia kwa njia yoyote,kwa kuwa itataka kushindana na ubora hata kisoko kuvutia wateja. kampuni Zanco imetengeneza simu aina Tiny t1 ambayo uzito wake sawa na 150...
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Nasikia kuna virus ambao wanaweza kuingia kwenye simu na kuharibu mfumo wote wa simu na App zote kwa ujumla. So wataalamu mliopo humu, Je hili jambo ni la kweli na ni njia zipi zitumike ile...
0 Reactions
3 Replies
888 Views
Utapeli ni tatizo kubwa sana kwa kila mtu,hasa mtumiaji wa mtandao, huenda wewe ushawahi kukutana na aina fulani ya utapeli. Kuna aina nyingi sana za utapeli wa kimtandao, leo tutaona baadhi tu...
3 Reactions
23 Replies
7K Views
Laptop yangu ya dell imeshindwa kuwaka wala kuchaji. Nimejaribu betri na chaji kwenye laptop nyingine zinapiga kazi. Tatizo linaweza kuwa ni nini?
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari wakuu, Nina desktop yangu aina ya Asus inasumbua. jana wakati namaliza shughuli zangu, niliacha wazi usiku kucha. Leo naiamsha naikuta screen imekwenda kwenye bios moja kwa moja...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hi.Naomba kuuliza sim twaja hapo juu imkua na ttizo la kupata moto sana na inpofkia asilima 70 za betri huwa ina zima ghfla,na baad y dakka nkiwasha ndo inawaka.yan kimcng inazima zima sana.Saidia...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
naamini humu kuna wataalam na watu wenye uelewa tofauti na wajuzi wa mambo katika fani mbali mbali. naomba nielezee shida yangu naamini mtaelewa nini nataka. naomba nianze na mfano. aplication...
2 Reactions
41 Replies
8K Views
Hii wengi wamezoea kuitumia kwa utambuzi wa no. Mpya tu, lakini ina kazi zaidi ya hizo, moja wapo ya hizo kazi ni kutuma ujumbe mfupi (sms) Dial pad(kibao cha nambari) pia ina uwezo wa kuzuia...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za mwaka mpya Nimeamua kutengeneza uzi huu ambao unatukutanisha wamiliki wa website na blog zipo post nyingi humu zinazozungumzi kuhusu jinsi ya kupata kipato kupitia website au blogs...
2 Reactions
0 Replies
743 Views
Wakuu kwa kutumia dishi la startimes, zuku au azam Nina receiver yangu labda ya qsat au labda ya mediacom sina dishi la futi 6 na kuendelea Nina dish la startime jee ninaweza kutumia na dish la...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
jamani kwa anaye tumia startime ya dish zile decoder nyeusi unaweza tumia kama free to air kwa kuweka channel zako zingine ukiachana na startime kwa mfano continental inauwezo wa kufanya hvy
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom