Baada ya kutembelea kiwanda cha BMW Mini Cooper kilichopo Oxford, kiwanda pekee kinachotengeneza gari hizo Duniani, tutaeleza kwa ufupi kabisa mambo machache kuhusu kiwanda hicho na gari hii. Mini...
Habari wanajukwaa,
Laptop yangu inazima ghafla, yaani ukiwasha inakaa kama sec 30 hadi dakika 1 then inazima ghafla. Shida itakuwa nini?
Msaada tafadhali
Chaji iPhone 8 Au iPhone X kwa Uharaka zaidi.
Simu za iPhone 8, 8 Plus na X zina support fast charging. kutokana Na taarifa ya Apple, unaweza kuiweka chaji kutoka 0 hadi 50% Ndani ya dakika...
Je, umedondosha simu yako kwenye maji au imeingiwa maji?. Usipate tabu, Ukichukua hatua za haraka unaweza ukaiokoa isiharibike.
Hatua ya kwanza kabisa itoe kwenye maji haraka iwezekanavyo kwani...
Hellow!
Bila kupoteza muda, kama kuna mtu anayeweza kuflash/ku unlock moderm ya airtel (huawei E8231) ili itumike mitandao yote tafadhari akuje tuyajenge!
Hi
Hivi wakuu tunelewa kua most wanted programmer katika dunia hii ni wa language gani?--ingawa nchi yetu ipo chini katika field hii but me as a freelancer, lazima nielewe hili, kama wewe pia ni...
Salamu kwenu wakuu na heri ya mwaka mpya 2018, naomba kuelekezwa namna ya kufanya factor default kwenye king'amuzi cha star tymes, chenye rangi nyeupe kitumiacho dish. Maana nimeenda menu halafu...
Wakuu naomba kufahamu kama nitajitahidi kuwekeza na kujiajiri katika uanzishaji wa shule ya awali. Kama kuna sheria na kanuni zozote ambazo zinatakiwa kufuatwa naomba kufahamishwa hapa. Pia msaada...
Kampuni ya Teknolojia ya Apple imethibitisha kwamba vifaa vyake vyote vya teknolojia vilivyoundwa na kuwekewa chip zilizobainika kuwa na kasoro vimo hatarini kukumbwa na madhara ya shambulizi...
Kama tunavojua teknologia inakua kwa kasi, binafsi napenda vitu computrized na pia kutumia mtandao kuongeza kipato. Tayari namiliki website 1 na blog 1 zote kwa mambo ya afya . Nipo Dar napenda...
Leo nimewaletea mandhari nzuri ya club ya Ujerumani Borussia Dortmund nimekuwekea hapa unaweza kuipakua
Download theme ya Borussia Dortmund kwenye GBWhatsApp ~ SmatSkills utawekaje kwenye simu...
Leo sumsung wametambulisha prosesa mpya je s9 itashindana na iphone x
Samsung today announced the launch of its latest flagship mobile processor that's expected to power the firm's upcoming...
Here's a summary of the two branded bugs:
Meltdown
This is the big bug reported on Tuesday.
It can be exploited by normal programs to read the contents of private kernel memory.
It affects...
Wanajf naomba msaada,
Simu yangu now ukiiweka katika chaji inawaka kuonesha inaingiza chaji lakini inaongezeka percentage chache sana yani hata 2%@hour kwa hiyo labda mwenye kujua anisaidie kama...
Habari wakuu
Ebana mm natumia sony vegas katika edit zangu, sasa kuna effect moja hivi naisaka sana.... ni ile ya kufanya watu au hata magari yawe yanaenda fasta kiasi ambacho unaona mataa tu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.