Habari wanajamvi kwa ujumla?
Nimetengeneza bot maalum kwa ajili ya kukupa taarifa uchambuzi na trick mbalimbali za kiteknolojia kwa lugha ya kiswahili, kama unatumia telegram unaweza unaweza...
Hello guyz kama heading inavyosomeka hapoo nmesumbuliwa sana na hii kitu sasa nmeamua kuwaomba msaada since PC yangu niliwekea setup ya FIFA 17 bx kila nnapo taka Ku install inaniandikia my...
Naombeni msaada kwa wajuzi radio yangu sony cd 3 imepoteza sauti mwanza ilikuwa na tatizo la eject ukiwacha inajizima lakin sauti ilikiwepo sasa nikampelekea fundi mmoja hapa uswazi kwa maelezo...
Nimeanzisha CHUO cha kukamilisha mipango ya mwaka huu,
Kwa wale waliosoma lakini hawakuielewa ama unahitaji kusoma basi mwalimu nipo hapa
Masomo hya yatakuwa ni online na ndiyo tutakayosoma pekee...
Habari wakuu nmepewa aina hiyo ya simu na ndugu yangu anaeishi nje ya nchi lakini kila nkitaka ku reset inaniandkia cannot connect to the iCloud wakati passcode na passwords zote nnazo.
Habari JF,
Secure SmS - Faragha, ni mfumo wa simu kwajili ya kupokea na kutuma meseji bila kuwa na uhitaji wa kutumia Internet.
Hivi sasa kuna uwezekano wa kusomwa meseji za wateja katika...
Habarini za kaz waungwana, nimeweka kifurushi cha Startimes lkn bado sipati chanel, ninamashaka hakijaingia km ilivyo kawaida, nawezaje kuangalia km balance ipo? Tafadhari kwa anaejua
Natumaini mpo salama, nimekuwa nikiona hiki kitu kwenye computer yangu nashindwa namna ya kukiondoa tafadhali mwenye uelewa anisaidie
C:\window\SysWOW64\msiexec.exe
jamani, habari natumai mahali hapa wapo wenye uzoefu tofauti tofauti katika na huduma ya Google Adsense, ninamiliki blog inaitwa JobFinder " Job Finder Tz " Ambayo mwanzoni nilikuwa naingiza...
Jamani hii simu mbona majanga? Yaani nimeamka asubuhi majina yote yameondoka hususan nina tabia ya kuyasave kwenye simu. Halafu kuna wakati picha nikifungua nakuta zimekatika yaani inaonekana nusu...
Salaam wataalam
Mi nina simu Itel 1508
Hii simu bwana imeanza ugonjwa wa kutopeleka chaji ,sometimes nikiichaji inaingia vizuri lakini inaweza ikafika 20% ikasimama isiendelee tena inaweza...
Amani iwe kwenu ndugu!
Kumekuwa na tatizo kubwa la Umeme mtaani kwetu. Kuna mtu kaniambia kuwa, nikinunua UPS itasaidia pindi Umeme ukikatika niweze japo kusevu kazi niliyokuwa naifanya katika...
Ni simu yenye specifications zifuatazo RAM GB 12, Uhifadhi wa GB 1,000(TB 1)…Ni vigumu kuamini simu kuwa na uwezo (specifications) wa kiwango hichi ila simu ya Turing Phone Cadenza iliyopo njiani...
Habari wakuu,naombeni msaada kwa wenye uzoefu au aliyewahi kukumbana na tatizo hili kwenye iPhone..Nina iPhone 6 nimeitumia kama miezi 6 hivi na nilinunua mpya.Tatizo lilianza wakati wa kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.