Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zenu wakuu!? Natumia samsung s6 sasa jana nimechomeka kwenye charg ikaniletea ujumbe unasomeka `Charging paused, better temperature too low"..... Naomba msaada kujua nini kimesababisha...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Kwa wale wataalam naomba ufafanuzi nini cha kujaza kwenye hii picha Nataka kuconnect internet kwa kutumia line ya TTCL
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu, Natumiaga afrobox kwa simu inapiga kazi vizuri, sasa leo nataka kuitumia kwa laptop nimetumia ile software ya bluestacks kuinstall vizuri, lakini nikiplay channel mfano clouds tv...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari ya weekend wana jamvi..??!! Moja kwa moja twende kwenye mada. Ninatafuta battery ya Hp Probook 430 model number RA04 nitaipata wapi ambayo ni mpya?
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Habari zenu wana JF Wakuu kama kichwa kinavyo jieleza ninauitaji wa laini ya Voda yenye Huduma ya University Offer lakini mimi siyo mwana chuo pia kama itawezekana Ninayo laini ya Voda...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Kuna App inaitwa Findyr. Kila nikijaribu kuinstall inaniambia your device isn't compatible with the app. Ni uwezo mdogo wa simu au inakuwaje hapo. Msaada Tafadhali
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu simu yang inataka uweke line ya airtel unless siwez weka nyngn naomb msaada jins ya kui flash iwe multpurpose..
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale software developers, computer engineers au IT specialists naomba mnisaidie algorithm ya automatic timetable generator. Hata kama uta extend kwa kutoa na codes pia itapendeza. Lugha yoyote...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wapendwa nina Iphone 6S ambayo ilikuwa ina IOS 10 na leo hii nimei-Upgrade kuwa IOS 11.2.2 baada tu ya kumaliza kazi hiyo imegoma kufungua App Store,Itune Store na Podcast.Nauliza ni fanyeje ili...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Control simu yako bila kuigusa yaani kama vile unatumia computer vile sina maelezo mengii ya kuisifia sana maana mimi sio mwandishi
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana JF, kama kichwa kisemavyo, mm ni developer, nimetengeneza app yangu ya kwanza kama majaribio, lakini kuna watu wameipenda na wanataka niwauzie, lakini mimi sijui bei ya app, naombeni...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ,naomba msaada wa software hiyo ama link au software yenyewe.
0 Reactions
3 Replies
818 Views
Mambo vipi wadau i hope mko poa kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Kushindwa kutofautisha kati ya Mb na MB limekuwa ni jambo linalowachanganya watu wengi tu bila ya wao kujua sasa leo...
13 Reactions
44 Replies
18K Views
Tumetengeneza App kwa ajili ya Watoto inayoitwa WatotoApp, ambayo kupitia hiyo watoto watakuwa wanapata hadithi. Kwa sasa, hadithi zilizopo ni kwa ajili ya Watoto wa miaka 8 - 12. Kama ungependa...
1 Reactions
4 Replies
721 Views
Wanajf naomba Mwenye crack ya Gsm flashing and unlocking software inayofanya kazi vizuri all in one tool 2017 atupie humu jamvin
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu habari zenu Naomba kushauriwa kuhusu aina (brand)nzuri ya stabilizer (automatic voltage regulator) kwa ajili ya friji langu, friji langu limekua likizima umeme unapopungua nikadokezwa...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
utachukua WIFI A (1MPS) + WIFI B (2MPS) = UTAPATA 3MPS SPEED UTAFANYAJEEEEEEE??????????? BAKI NAMI............................loading 89% HATUA ZA KUFUATA ( kuwa makini) njia ya 1 1...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habarini wakuu,nimekuwa nikikutana sana na haya maneno katika simu za Samsung huwa sielewi yana maana gani au utofauti gani katika simu hizo Najua kuna google ila majibu ya humu ni mazuri zaidi...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
habari wadau.. najua wote tunajua tupo kwenye internet era.. digital age.. najua kuna wengi wanatamani nao wapate mshiko kwa kuitumia internet tu.. huu uzi maalumu wa kushauriana na kupeana...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom