Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Poleni na kazi WanaJF, Napenda kufahamu ni kampuni gani ambayo ilitengeneza application au site ya JamiiForums kuanzia interface, design, mwonekano hadi kila kitu? Maana kwa kweli nadhani...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Jamani nisaidieni, simu yangu inazingua application zote hazifanyi kazi. Kika nitakayofungua inaniandikia "unfortunately ***** stoped. Nifanye nini ili ikae sawa!??
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, Niende kwenye mada, kama kichwa cha mada kinavyosema nahitaji maoni yenu kuhusu website yetu ya Mjasiriamali Desk pamoja na pre-release mobile app ya site amabayo unaweza...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
ili mwagikiwa na maji, keypad zifuatazo hazifanyi kazi ( T, Y, DELETE, TAB, RIGHT SHIFT, START , F3, F8), zingine zotee zinafanya kazi vizuri. Naishi Dar es salaam. Nahitaji fundi mwaminifu...
1 Reactions
0 Replies
510 Views
Je Dugu nawezapata application ya android ambayo ina uwezo wa kufanya simu Itumike kama projector?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Naomba msaada hapo wadau? ni kweli google store wanalipa watu ukiwa na downloader wengi katika app yako?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nile X ni simu ya kwanza kuzinduliwa hapa Afrika(Misri).Baadhi ya Specifications zake ni Kioo cha inch 5.7",RAM GB 4 na ROM GB 64,Uwezo wa simu ni 3g/4g.itaanza kupatikana hapa Afrika...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu wa jf, naombeni msaada kwa mtu ambaye anajua jinsi ya kufungua bot ya kutumia kuwasajili member kwenye app ya telegram. Asante kwa msaada wako
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habar zenu mimi ni hancy naomba msaada wa kupata game zuri la simu
1 Reactions
8 Replies
8K Views
Jana nilinunua battery mpya kutoka dukani.Saa 11 Jioni nikaiweka chaji lakini haivuki 48% Tatizo ni Nini? Nifanyeje? Msaada tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni LG G2 FLEX, haiwaki...ikiwaka baada ya kuonesha ile logo ya LG inaendelea kwa kuandingika inaanzisha Android....baada ya hapo inaanza tena huo mchezo...mafundi nisaidieni.
0 Reactions
29 Replies
3K Views
namna ya kutuma picha jamii forum msaada
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kwa wale wakali wa teknoolojia,,, Nawezaje tambua digital camera original....
0 Reactions
3 Replies
839 Views
Jee kuna tofauti gani kati ya iphone 8 na 8 plus.yaani kuna vitu ambavyo waweza pata kwa 8 plus na 8 ikawa havipatikani.na mwisho kimatumizi ipi ni nzuri kati ya 8 na 8 plus.nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa anayeuza HP keyboard ndogo hv naomba anitafute kokote alipo. Namba ni 0674028267. Model ni 2540p
0 Reactions
2 Replies
604 Views
Nahitaji macbook pro kwa aliyenayo na anauza anicheki kwa 0629593331
1 Reactions
3 Replies
643 Views
Wakuu habari za leo.Naomba msaada wa kueleweshwa jinsi ya ku-update Tecno yangu kila mara inasema up date memory card.Kumbuka memory card bado ina nafasi ya kutosha.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Msaada wakuu cm yang ukipiga inakuandiika no network available akat lain iko
1 Reactions
33 Replies
41K Views
Simu yangu aina ya Huawei Y300 nikiiwasha Inastart na inashindwa kufunguka baada ya kuandika "Huawei" He tatizo ni ni software au service life take imekwisha ? Nikii-flash itarudi/kufunguka kama...
0 Reactions
2 Replies
970 Views
Kama thread inavyojieleza wakuu, unahisi ni kampuni gani kati ya hizo mbili wanatengeneza games zenye graphics za hatari na za ukweli kumshinda mwenzake. As for me, kiukweli EA games nawakubali...
1 Reactions
58 Replies
6K Views
Back
Top Bottom