Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Digitek wameorodhesha baadhi ya Channels walizo nazo kwenye package yao. Ile ESPN wameiondoa ktk list hii. Je hapa pana jipya? Ndiyo wana jipya,sasa proved wana chnls nyingi za bure. Chnls 22...
0 Reactions
42 Replies
21K Views
Wakuu nawezaje kupata clipboard kwenye sim yangu tecno spark K9 maana kila nikisevu message inanijulisha kuwa served on clipboard lakin nashindwa kuiacces Masada tafadhali
0 Reactions
0 Replies
400 Views
Wakuu Nataka nijifinze u hacker so nianze na vitu gani ili nielewe ku hack kwa urahisi or program gani lazima nizifahamu kuhusu ili niwe hacker Dhununi la kujifunza ni kuongeza maarifa tu...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
nisaidieni nipate domain ya .com
1 Reactions
0 Replies
399 Views
Wadau naomba kujuzwa iwapo kuna technical benefits zinazotokana na. Simcard iliyokatwa, binafsi sipendelei chip hiizo ila naona sasa simu nyingi za sasa haziingizi simcard isiyokatwa
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Aisee hio app ipo njema sana haswa kwenye voice call..watanzania tusupport wenzetu.. Share na marafiki.. Inapatikana playstore
2 Reactions
4 Replies
1K Views
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa. Nikiwasha laptop yangu kuna hii message inakuja, na hata nikibofya OK bado inarudi hadi ufanye hivyo angalau mara 10. Msaada jinsi ya kuiondoa tafadhali. Tatizo lilianza siku...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jaman tusaidiane kidogo jinsi ya kuhack dls 18.
1 Reactions
3 Replies
13K Views
Lenovo ambao ni watengenezaji namba moja wa komputer duniani, ambao pia wameinunua kampuni ya motorola mapema mwaka huu wametoa kifaa smartphone mpya Lenovo K920 (Lenovo Vibe Z2 Pro) ambayo ni...
2 Reactions
56 Replies
7K Views
wakuu nimepata simu ya kichina ya xiaomi 5s plus nimeweza kubadilisha lugha kwa general lkn nikiingia kwenye web zinaleta maandishi ya kichina tupu. Nimejaribu pia kudownload app ya JF katika app...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Looking for your mobile phone can be a frustrating experience. Sometimes it’s simply tucked in some place, out of your sight. Yet it is also possible to lose your phone away from home or have it...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Hakuna msemo mwingine zaidi ya "Tumekwisha" kwa sisi tunaotumia line za chuo za halotel, kwa maana hiyo nawaaga rasmi kuwa sitakuwa nanyi leo na hata milele. Tulizoea unajiunga cha 10,000 kwa...
10 Reactions
88 Replies
9K Views
Salaam sana Rafiki zangu Kama kichwa kinavojieleza, ni kuwa nimepoteza simu yangu na ilikua ni msaada mkubwa sana kwangu Nifanyeje niweze kuipata, IMEI ninayo msaada tafadhali mwenzenu sina hali
2 Reactions
14 Replies
8K Views
Wakuu habari Ebana kuna hii ishu inaniumiza sana kichwa. Yor pc ran into a problem kisha screen inakuwa ya blue. Plz kama kuna njia au tatizo n nini hasa.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Ma_IT nimebadili simu ,sasa nataka niunganishe hotspot kwenye laptop kila Niki_connect wanadai security key. Hata sijui ni zipi,nimekomaa wee hata sizioni. hebu okoeni jahazi CHIEF MKWAWA
0 Reactions
9 Replies
653 Views
Simu yangu Infinix S2 Pro nimeruhusu "developer options" nikaivuruga hapa[emoji116] Nika-select off ktk hizi sehemu tatu kama hivi[emoji116] Naona simu imekuwa na speed kweli kweli sasa wakuu...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari tena, Nawezaje kupata contact ya zamani niliyofuta kwenye phone book iwe nilisev kwenye emails au sikusevu, nataka nii retrieve.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
sasa halotel leo nawahama rasmi nishachoka mambo haya nahamia zangu TTCL, haiwezekani mnashusha vifurushi bei hampunguzi. leo nimeingia kwenye menu yao ya mwanachuo 500 sasa unapata MB 300 (Mwanzo...
1 Reactions
7 Replies
853 Views
Hv ni plugin gani nzuri na the best ambayo naweza fanya color correction na nikapata pc nzuri kwa software kama Sony Vegas Adobe zote
1 Reactions
0 Replies
505 Views
Back
Top Bottom