Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za hapa na pale wakuu, Je nawezaje kufanya message za Facebook ziwe private? Yani ukiwa unatumia fb messenger, zisiwe zinaingia pasipo kuwa na kakitu kama ka drop box au sijui ki pop up...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello guys, naomba msaada kidogo... huwa natumia sana youttube kwa ajili ya kujisomea (kuongea maarifa) sasa swali langu ni kuwa kama kuna video ina dakika 50 na ina mb 145.. nikiangalia moja...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta macbook Pro sata cable,nipo Dar-Kinondoni.Kama unayo nicheki kwa namba hii-0623703370
0 Reactions
0 Replies
1K Views
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WQBARAKAATUH. BismiLLaah, AlhamduliLLaah n shaa Allaah, Leo Wale Ambao Allaah Hakutufahamisha, Nini Tufanye Endapo Tunataka Kurudisha Vitu Tulivyovifuta Kwenye...
7 Reactions
62 Replies
32K Views
Jamani naomba msaada kama kuna mtu anaweza nisaidia ku-recover deleted contacts ,photos kwenye Android phone (Galaxy mini) .Nipo tayari kugharamia kwani kuna mtu ame-delete kwa makusudi ili...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
KAMPUNI YA MICROSOFT YAJA NA Bing SEARCH ENGINE ITAKAYOTOA UPINZANI KWA GOOGLE. NIMEIPENDA KWA KWELI.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Salama wadau, Naomba tujulishane websites nzuri mnazotumia kushusha au kudownload Movies kali kali, najua watundu hii mambo mpo humu. Kulikuwa na pirates, u torrent, sasa sijui nyingine, naomba...
2 Reactions
4 Replies
771 Views
ONYO: USITUMIE NJIA HII KWA ADSENSE Mwagona....:):), Salamu ya kunyakyusa hiyo karibuni Mbeya jamani jiji ambalo huwezi lala njaa labda uwe mvivu kupitiliza. Hakuna siri tena kama unataka...
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Mimi ni mwanafunz wa kidato cha sita nahtaj niwe na email ili inisaidie katika aplication za vyuo.
0 Reactions
9 Replies
16K Views
nimekuta humu mara nyingi watu wakizungumzia namna ya kubadili certificate/imei .... Naombeni kama kuna mTaalamu anisaidie niweze kubadili imei ya simu yangu maana haisomi line!
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari za weekend wadau Naomba mnisaidie jinsi ya kuzipata picha zangu zoote ambazo zko hidding sizion kabisaa Yaani nyingne zinaonekana na nyingne sizionii natumia samsung galax neo 3
0 Reactions
0 Replies
479 Views
Hiyo Samsung grand prime plus ya mwaka huu inafaa na ni ya wastani inaweza kuhandle kila kitu vizuri
4 Reactions
232 Replies
27K Views
Kama ndio, naomba ushauri wako je ni njia nzur? Naitaj kuagiza laptop online, nin mawazo yako?
0 Reactions
26 Replies
4K Views
wakuu naombeni msaada email yangu imekuwa ikipokea jumbe nyingi hlf zinakuja bila ya kuwa na unsubscribe attachment,hii imekuwa ngumu kujitoa na emails hizo ili nisipate jumbe zao,hivyo najikuta...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
N.B: MAADA HAIPO NOOB FRIENDLY Kama utakuwa mgeni wa kupiga pesa online tafadhali pitia post zangu za nyuma TRICK: TENGENEZA PESA KIRAHISI ONLINE TRICK 2: PIGA PESA ONLINE KWA SKYPE JINSI YA...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Hivi kuna mtu anaweza tengeneza program ambayo italeta interphase ya kuchagua option ya kufanya. Either program inaeza kua na option 3 kama vile 1. Kukonvert miles to km 2. Centgrade to...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
You can now visit www.teknozoo.co.tz to shop abroad and ship to Tanzania for FREE
0 Reactions
2 Replies
779 Views
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH BismiLLaah, AlhamduliLLaah In shaa Allaah, Leo Tutajuzana JINSI YA KUFICHA NA KUFICHUA CHATS ZA WhatsApp BILA KUTUMIA APPLICATION Mahitaji 1. GB...
3 Reactions
14 Replies
11K Views
Habari Jukwaa la Tech. Ndugu zangu nina tatizo la betri katika simu yangu Samsung Note 3 kila baada ya miezi minne betri linakuwa limechoka mbaya halikai kabisa na chaji... nimenunua betri mpaka...
0 Reactions
4 Replies
943 Views
Back
Top Bottom